MSAGA SUMU
JF-Expert Member
- May 25, 2015
- 6,661
- 21,656
Waziri Mwakyembe jana akifanya mahojiano na TV ya mtandaoni kuhusu maoni yake kwa watangazaji kuhama vituo vyao vya kazi kila siku, Mwakyembe amesema Wizara inamalizia hatua za mwisho mwisho kuunda chombo kama TTF ya redio na TV itakayokuwa na jukumu la kulinda hadhi ya watangazaji.
Pamoja na mambo mengine chombo hiki kitakuwa na jukumu la kusimamia ada za uhamisho kwa watangazaji na maslahi mengine.
Mkuu toa maoni yako
Pamoja na mambo mengine chombo hiki kitakuwa na jukumu la kusimamia ada za uhamisho kwa watangazaji na maslahi mengine.
Mkuu toa maoni yako