johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Mo itakuwaje kwa Simba?Hiyo ni kwa mujibu wa sera mpya ya michezo ambapo kanuni zake zinaandaliwa na mamlaka husika.
Chanzo: TV 1 habari!
My take Mo wa Simba SC atapona kweli?!!
SIMBA NA YANGA HIVI VILABU VIMETIA WATU WENGI UMASIKINISimba na Yanga ni taasisi za .... kwa taarifa tuu.
Ni lazima amiliki 49% au pungufu na kwahiyo maamuzi makubwa yataendelea kufanywa na wanachama wenye umiliki wa hisa wa 51% kinyume kabisa na matarajio yake!Mo itakuwaje kwa Simba?
Kwahiyo Mo atafirisika?!SIMBA NA YANGA HIVI VILABU VIMETIA WATU WENGI UMASIKINI
SIJUI KWANINI MTU AKIWA MSHABIKI WA SIMBA AU YANGA NI LAZIMA ATAFILISIKAA .
wanahofia ya tp mazembe na moise katumbi au manji kwa yanga kabla hawaja mblock,mtu anakuwa powerful hadi kuabudiwa na mashabiki zaidi ya serikaliSijui serikal ina hofu gan ktk hivi vilabu..mbona yenyewe inauza mashirika yake kwa asilimia zaid ya 50. Kuna wakat naamin serikal ndo inadumaza michezo kwa sera za kizamani kama hizo.
Sheria /kanuni mpya haiathiri mikataba ya nyuma yaani ile iliyofanyika kabla sheria hiyo haijatungwa.Mo itakuwaje kwa Simba?
Waindi ni matapeli wa kimataifa. Muhindi na mpira wapi na wapiGood move, how wahindi ni matapeli anaweza iuza timu
Basi sina haja ya kumlaumu Kinje kumbe matatizo yanaanzia huku
Hiyo ni kwa mujibu wa sera mpya ya michezo ambapo kanuni zake zinaandaliwa na mamlaka husika.
Chanzo: TV 1 habari!
My take Mo wa Simba SC atapona kweli?!!
wanahofia ya tp mazembe na moise katumbi au manji kwa yanga kabla hawaja mblock,mtu anakuwa powerful hadi kuabudiwa na mashabiki zaidi ya serikali
Sheria /kanuni mpya haiathiri mikataba ya nyuma yaani ile iliyofanyika kabla sheria hiyo haijatungwa.
Nasubiri kwa hamu hao wanachama wataojitokeza kununua izo hisa asilimia 51zenye thamani zaidi ya billion 20 alizotoa mo !