Mwali naingia

Globu sogea kipande hii una nduguyo wa Giningi
 
Last edited by a moderator:
Globu sogea kipande hii una nduguyo wa Giningi

Nimewasili Mkuu, huyu mwali ni mchawi ila sijui kama aliomba ruhusa ya kuja huku. Wacha nikawaulize wazee.
 
Last edited by a moderator:
Hodi wanajamvi ,naomba kupokelewa kwa mikono miwili ili niwape ya kwetu giningi

Sent from my BlackBerry 9700 using Jamii Forums

oohoooo!! Haya nambie wakwetu. Habari za utokako, kwema, wazee hawajambo na vigagula jee? Haya karibu uchawini oohh sorry Karibu JF.
 
Globu Giningi ni wapi nji hii?
 
Last edited by a moderator:
Globu Giningi ni wapi nji hii?

Mkuu Kaizer, Giningi ni sehemu mojawapo ya kisiwa cha PEMBA ambapo ni Makao Makuu ya wachawi. Haahahaaa!! Unakujua Pemba Mkuu? Katika uhai wake mwalimu Nyerere alikwenda Pemba mara moja tu, kisa ni kuogopa Giningi.
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Kaizer, Giningi ni sehemu mojawapo ya kisiwa cha PEMBA ambapo ni Makao Makuu ya wachawi. Haahahaaa!! Unakujua Pemba Mkuu? Katika uhai wake mwalimu Nyerere alikwenda Pemba mara moja tu, kisa ni kuogopa Giningi.

Aisee.....kumbe ni Pemba, sijawahi kweli kufika, nimeishia Zanzibar tu.....hao wanaweza kushindana na wale wa Gamboshi Bariadi?
 
Aisee.....kumbe ni Pemba, sijawahi kweli kufika, nimeishia Zanzibar tu.....hao wanaweza kushindana na wale wa Gamboshi Bariadi?

Mkuu hata Pemba ni Zanzibar, wewe utakuwa umefika Unguja. Inawezekana Giningi na Gambosh ikawa ngoma draw.
 
Mkuu Kaizer, Giningi ni sehemu mojawapo ya kisiwa cha PEMBA ambapo ni Makao Makuu ya wachawi. Haahahaaa!! Unakujua Pemba Mkuu? Katika uhai wake mwalimu Nyerere alikwenda Pemba mara moja tu, kisa ni kuogopa Giningi.

Kumbe ni Pemba....?? Nitafika siku moja nione kunafananaje.
 
Kwema sana tu, karibuni nitakuwa home sweet home.

Poa kaka, nilikuwa Unguja last week for the first time. Safari nyingine nitafika huko Giningi,,,,,
 
karibu sana mwali,bila shaka ujasahau rambirambi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…