Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yawezekana huwa mna utani.Hata hivyo,kwani ukipewa sahani moja inayobeba chakula chenye wingi wa lita nne bado hakikutoshi?Usihesabu sahani moja.Jali ujazo wenyewe.Sikutegemea kama rafiki yang kipenzi utakuwa na roho mbaya kiasi hiki aisee!
Yani bila aibu kwenye mualiko wako unanimbia kuwa nikija kwako kula mwisho sahani moja.?
Aisee umenifunza kitu.
Tuache kuzusha mambo, mimi jirani yangu mwislamu ametuma mtoto kaniletea mguu wa mbuzi.Sikutegemea kama rafiki yang kipenzi utakuwa na roho mbaya kiasi hiki aisee!
Yani bila aibu kwenye mualiko wako unanimbia kuwa nikija kwako kula mwisho sahani moja.?
Aisee umenifunza kitu.
Tsh 2500/dollar moja tu.Tunakoelekea utamwambia akanunue kilo moja ajipikie na aule peke yake hadi achakae.Ivi sahani moja ya pilau ni bei gani kwa mama ntilie 🤒🤒🤒.??
Kwa mama ntilie ile siyo pilau ni wali wa vumbi umebadirishwa rangi tu.Ivi sahani moja ya pilau ni bei gani kwa mama ntilie 🤒🤒🤒.??
weejamaa sijui nimekufananisha au vipi🤣🤣🤣wesio yule unaesemaga waisilamu nimagaidi,?😁😁😁Tuache kuzusha mambo, mimi jirani yangu mwislamu ametuma mtoto kaniletea mguu wa mbuzi.
Waislamu wanaojuwa dini na kuifuata ni watu wema na wakarimu sana.
Kuna waislamu na wachilamu, hawa wamejaa chuki na kwa wasio waislamu kila kitu kwao ni udini ndio wanatanguliza.weejamaa sijui nimekufananisha au vipi🤣🤣🤣wesio yule unaesemaga waisilamu nimagaidi,?😁😁😁
hao wanaenda kuuza itakua niwahini waliovaa kanzu kama wale wanaoenda kuswali mwezi waramazani swala yamaghalibi tuu🤣kwalengo lakula futariKuna waislamu na wachilamu, hawa wamejaa chuki na kwa wasio waislamu kila kitu kwao ni udini ndio wanatanguliza.
Note nilichandika waislamu wanaoijuwa vizuri dini yao ni wakarimu sana.
Leo Markaz wanagawa nyama nenda uone wale waislamu kanzu wanachukuwa viroba vya nyama kwenda kuuza.
Huwa wananishangaza sana hao wanaopewa nyama/mchele bure halafu wanaenda kuuza.Ni umasikini sana.Kuna waislamu na wachilamu, hawa wamejaa chuki na kwa wasio waislamu kila kitu kwao ni udini ndio wanatanguliza.
Note nilichandika waislamu wanaoijuwa vizuri dini yao ni wakarimu sana.
Leo Markaz wanagawa nyama nenda uone wale waislamu kanzu wanachukuwa viroba vya nyama kwenda kuuza.
Mental case hio. Usipate shida sana.UNA UMRI GANI?KWNN UNARUHUSU UBONGO WAKO KUWA MAMBO YA KIPUUZI
unahangaika nini na sikukuu za kipagani? Kama leo huna kazi pumzika sehemu unayopendeleaSikutegemea kama rafiki yang kipenzi utakuwa na roho mbaya kiasi hiki aisee!
Yani bila aibu kwenye mualiko wako unanimbia kuwa nikija kwako kula mwisho sahani moja.?
Aisee umenifunza kitu.
Aisee ndio vile tu niko mbali na maskani. Ila siku kama hizi misosi huwa inamiminika hadi sio poa. Much love kwa Waislamu wote, hatujawahi kubaguana iwe Idd iwe Christmass. Nawakumbuka sana jirani zangu.Tuache kuzusha mambo, mimi jirani yangu mwislamu ametuma mtoto kaniletea mguu wa mbuzi.
Waislamu wanaojuwa dini na kuifuata ni watu wema na wakarimu sana.