Mwaliko wa mafunzo ya matumizi ya program ya mikopo (Loan performer) Bure!

Mwaliko wa mafunzo ya matumizi ya program ya mikopo (Loan performer) Bure!

ANJOA CPN

JF-Expert Member
Joined
Sep 9, 2014
Posts
285
Reaction score
51
Kampuni ya Crystal Clear Software Ltd kwa kushurikiana na kampuni ya Get up Tanzania Co. Ltd na Anjoa Co. Ltd inakuletea mafunzo ya siku moja ya matumizi ya program ya mikopo inayoitwa Loan Performer bure.

Loan performer ni program ya mikopo ya aina yake. Inatumika katika inchi zaidi ya 50 duniani kote. Kwa Tanzania, zaidi ya taasisi 26 zinatumia program hii. Ni software ambayo inahudumia mikopo binafsi na vikundi, inaruhusu kuweka akiba na kutoa, inaruhusu kuuza hisa, ina uwezo wa kuunganishwa na Mpesa na Tigo pesa ili mteja alipe mkopo kwa Mpesa au Tigopesa.

Program hii ina uwezo wa kutoa ripoti za kihasibu na ripoti za portfolio zaidi ya mia mbili. Nadiriki kusema hii ni program ambayo hupaswi kukosa kwa ajili ya taasisi yako.

Walengwa ni makampuni ya mikopo na Saccos.

Ili kuhudhuria mafunzo haya, Tuma jina la kampuni au Saccos na namba za simu na majina ya wawakilishi wasiozidi wawili watakaohudhuria mafunzo hayo bure. Mafunzo yatafanyika tarehe 01/10/2016 saa tatu mpaka saa tisa jioni. Mahali ni msasani, Dar es Salaam katika ofisi mpya za Anjoa.

Mawasiliano: Email: lpfconsultant@yahoo.com or by Mobile 0759-692024 or 0752-115528
 
Kwa nini msikaribishe wote, kwa yoyote ambaye yuko interested na hii kitu?? kwa sababu kuna mtu leo hii hana kampuni lakini ana mpango wa kuwa na kampuni ya mikopo siku zijazo.
 
Kwa nini msikaribishe wote, kwa yoyote ambaye yuko interested na hii kitu?? kwa sababu kuna mtu leo hii hana kampuni lakini ana mpango wa kuwa na kampuni ya mikopo siku zijazo.
Ni wazo zuri. Lipo katika mipango ya baadae, kwa sasa tunaanza na hizo taasisi kwanza.
 
kinachonifanya niwe nawehuka kwann dar dar siku zote? njooni mikoni jaman hiz fursa watu wa huko dar washazichoka!.inueni na wahuku.mikoani!...OMBI tu!....njooni kwa wakulima wafundishen na faida hata wanapouza mazao hela zote wasimalizie kwenye nguo/baskeli/ na radio!.wajue kusave hela na kupata mikopo kwaajili ya msimu mwingine wa kilimo!
 
kinachonifanya niwe nawehuka kwann dar dar siku zote? njooni mikoni jaman hiz fursa watu wa huko dar washazichoka!.inueni na wahuku.mikoani!...OMBI tu!....njooni kwa wakulima wafundishen na faida hata wanapouza mazao hela zote wasimalizie kwenye nguo/baskeli/ na radio!.wajue kusave hela na kupata mikopo kwaajili ya msimu mwingine wa kilimo!
Noted.
 
Back
Top Bottom