Nimepata habari kuwa Leo ni sikukuu kubwa sana hapo Lumumba ya kujipongeza. Wenyewe wanaiita Bashite day. Kila lakheri na siku yenu na muendelee hivyo hivyo hata na vizazi vyenu kuitukuza siku yenu.
Wengine hata mutualike hatuwezi kuja maana haituhusu