Mwalim Alex Kashasha, mtaalamu maahiri wa Soka asiyeonekana

Hiyo miguu kwenye avatar ni yako? Nijibu nina jambo muhimu la kukuambia
 
[emoji5] [emoji5] [emoji119] [emoji119]
 
Mzee wa ile inaitwa "back flip header"ujanja mwingi yule nae..

Miswahili bhana! Yaani badala ya kuzidi kumtia moyo Mzee wa Watu kwa Kazi yake Watu wanaanza tena ' Kumkandya ' kwa Wivu wao tu wa Kipuuzi. Tanzania ukijilikana tu kidogo utakoma kwani Watanzania wengi huwa wanapenda kuona fulani akibakika pale pale na dhiki / shida zake ili ' wachekane ' vizuri. Tubadilike!
 
Nimependa tafakuri ya mtaalam huyu wa uchambuz wa soka tena kwa Madaha.naomba cv yake tafadhal
Alikuwa ni mkufunzi tu pale Chuo Cha Ualimu Korogwe nadhani ana diploma ya michezo ila anapenda sana football
 
Kuikubali Kazi Yake Inatosha Sana
Mambo Ya Wasifu Huenda Yakawa Kama Watendaji Wa Serikali Ana PhD Halafu......Aibu
Utasikia mtu anajiita Dr, Prof, Injinia lakini uwezo wake ni mdogo na mambo yake ni hovyo kabisa hata kuandaa ka movie kadogo tu anashindwa halafu inakuwa aibu tupu kama haka kasegment kalikoisha jana
 
naomba cv ya mwalimu kashasha
Siifahamu Cv yake ila dada yangu aliniambia Kashasha alikuwa mwl wao chuo cha ualimu Korogwe miaka ya 90 na baadaye alihamia Vikindu Ttc miaka ya 2000! Anasema hata chuoni alikuwa akifundisha zaidi michezo! So, huenda huyu mzee ni mbobezi katika mambo ya michezo
 
Je kuna timu iliyowahi kufundiishwa na Mwalimu Kashasha?
 
Je kuna timu iliyowahi kufundiishwa na Mwalimu Kashasha?
 
Namkubali sana Mwl. Alex Kashasha, mbali na kuwa mchambuzi wa Soka ni Mwlm kitaaluma kwani mie amenifundisha Shule ya Msingi Kabarimu huko Bunda Mara. Lakini pia alikuwa one of my favourite football player akichezea Timu ya Ujenzi Bunda. Salute kwako Mwalim!
 
Kuna tofautiii k
Kuna tofauti kubwa sana kati ya kuuuchambua Mpira na kucoach mpira
 
nalijua soka siwezi kusema Kashasha ni mahiri katika kuchambua soka.
 
Alicheza namba ngapi?
 
Anadanganya Sana wasiojua kidhungu,lakini sio mbaya anajitahidi kupamba na kuboresha uongo wake iwe Kama kweli,kama hadithi za utamu kolea,Asante kamarada enock bwigane kwako Swed Mwinyi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…