Umeona eeeh?Kashasha habari nyingine bwana.Kashasha ni mchambuzi wa kiwango cha juu sana hata lugha anayotumia huvutia kusikiliza. Dr.Leaky kwa huyu jamaa atasubiri sana.
Hivi huwa anatangaza kwenye mechi za ligi kuu?Mwalimu Kashasha ni mchambuzi mahiri wa kinagaubaga wa soka anaelezea "technical issues" toka kwenye matangazo ya mpira redio unaweza kufikiri unauona mpira kwenye runinga. Yupo vizuri sana kwenye kuelezea "moves" za wachezaji kwa mmoja mmoja na timu nzima ya kila upande
Dr. Leaky ana mambo yake kwenye soka la kimataifa hususani ulaya ana mashamushamu kwenye upande huo.
[emoji3] [emoji3] [emoji23] [emoji23] [emoji85] [emoji85]Sadly,hukuielewa aya yangu ya mwisho...subiri nitakuelewesha private.
[emoji3] [emoji3] [emoji23] [emoji23] [emoji85] [emoji85]
Duuuuuhh nimesoma tena kama mara nne hivi ndio nimeelewa imebidi nijicheke mwenyewe hahahahaha
Humu JF ukiona neno 'uzi' akili inatafsri kitu kimoja tu, thread.. But nimekusoma sasa hahahah
Yap, inabidi siku tufanye hivyo tukutane pitch tunyooshane ndani ya uzi wa madrid [emoji3]
[emoji1] [emoji1] [emoji1][emoji23] [emoji23] [emoji23]
Take it easy...I was like damn!
Na nilivyocheki mida ile nikajua usingizi ulichangia.
Sure,we must....
Nifah huwa unasisimka pia??Naunga mkono hoja,namkubali sana mwalimu Kashasha...
Alinikosha sana kwenye kombe la duania mwaka juzi,kiasi mechi ambazo hakuwepo zilikosa msisimko kwangu.
duuh,2000 la kwanza!..nilikuwa A level[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Acha kumung'unya maneno bwana...once a Yanga?...
Heheeeeee
Mimi nilianza kuipenda Yanga rasmi mwaka 2000 nilikuwa darasa la kwanza hapo,nilikuwa napenda sana kusoma magazeti.
Sasa siku moja nikakutana na habari ya Yanga...kichwa chake tu cha habari kilinisisimua sana.Hadi leo sisahau...kilisomeka
"Yanga yawasha Indiketa"
Halafu pichani alikuwepo Said Maulid 'SMG',eeeh bwana kuanzia pale nilikata shauri la kuwa shabiki wa Yanga rasmi.
Hapo kabla miaka ya 98/99 mama yangu mdogo alikuwa anapenda sana kuniita "Wewe shabiki wa Yanga"...alinijenga kwa kweli.
Guess what?Mamangu mdogo ni shabiki wa kutupwa wa Yanga na mimi ndiye afisa habari wake.
Kukiwa na game anataka nimpe updates zote na nini...[emoji12]
Ajabu baba yangu kipenzi ni shabiki wa Simba,ukitukuta tunavyotaniana utadhani hawa watu ni washkaji na sio baba na mwana.
Ila aliwahi kuniambia roho ilimuuma sana alipogundua mwanae kipenzi ni shabiki wa Yanga...club asiyoipenda maishani!
Yalaaaaaah itabidi siku moja tuwe ktk pitch tunyooshane...tena ndani ya uzi wa Madrid.
Can you imagine that?
[emoji5] [emoji5] [emoji5]
Valencia ina matatizo yake aisee, hata neville alipoondoka bado inazingua tuUingereza hakuna mchambuzi aliekuwa na mvuto kama Garry Nevile
ukiachilia mbali alishaichezea Manchester United
Akaacha uchambuzi akaenda kufundisha Valencia....
aibu tupu huko kaacha
Jamani mnaenda nje ya mada, issue ni Mwl Kashasha!Sadly,hukuielewa aya yangu ya mwisho...subiri nitakuelewesha private.
Dr Leakey sio Man u kweli?Dokta Leakey anaponzwa na mahaba.
Anashindwa kuyaficha mahaba yake juu ya Barcelona.
Kwahili linanifanya nimuone mwalimu Kashasha bora zaidi.
Halafu ulisema una demu sijui mchumba?duuh,2000 la kwanza!..nilikuwa A level
Muone vile...wivu tu!Jamani mnaenda nje ya mada, issue ni Mwl Kashasha!
Hulali eee!!!Muone vile...wivu tu!
JF ni jukwaa huru,tunajadili chochote na popote.
Kaanzishe Forum yako upangie watu cha kujadili,ila hii ya Max tuache tufanye tutakavyo as hatuvunji sheria.
acha kunichimba nifah,usitake nikwambie ukweli,huwezi jua kesho kuna nini!Halafu ulisema una demu sijui mchumba?
Hadi leo hujaoa?
Duuuuh!
Nimekushangaa kama ulivyonishangaa [emoji23] [emoji23] [emoji23]
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Muone vile...wivu tu!
JF ni jukwaa huru,tunajadili chochote na popote.
Kaanzishe Forum yako upangie watu cha kujadili,ila hii ya Max tuache tufanye tutakavyo as hatuvunji sheria.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] baby wewe sio mzima Wallah![emoji23] [emoji23] [emoji23]
Nimekumbuka huu Uzi..
It was epic [emoji4] [emoji23]
#TheBold's
Kama kawaida yako toka kitambo mtu akitugusa tu, unamrushia maguruneti..[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] baby wewe sio mzima Wallah!
Dah nimecheka sana.
Asante kwa kumbukumbu hii mujarab.
Tumetoka mbaliiii [emoji12] [emoji7] [emoji8]
Kuna pipo zina wivu wa kikuda sana,tunachit chat kwa raha zetu anaingilia na kutupangia pa kuchatia.Kama kawaida yako toka kitambo mtu akitugusa tu, unamrushia maguruneti..
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
#TheBold's