Mwalim Alex Kashasha, mtaalamu maahiri wa Soka asiyeonekana

Mwalim Alex Kashasha, mtaalamu maahiri wa Soka asiyeonekana

Kashasha ni mchambuzi wa kiwango cha juu sana hata lugha anayotumia huvutia kusikiliza. Dr.Leaky kwa huyu jamaa atasubiri sana.
Umeona eeeh?Kashasha habari nyingine bwana.
Kumbe yupo TBC?Hata sijui maana TBC kwangu labda kombe la Dunia.
 
Mwalimu Kashasha ni mchambuzi mahiri wa kinagaubaga wa soka anaelezea "technical issues" toka kwenye matangazo ya mpira redio unaweza kufikiri unauona mpira kwenye runinga. Yupo vizuri sana kwenye kuelezea "moves" za wachezaji kwa mmoja mmoja na timu nzima ya kila upande

Dr. Leaky ana mambo yake kwenye soka la kimataifa hususani ulaya ana mashamushamu kwenye upande huo.
Hivi huwa anatangaza kwenye mechi za ligi kuu?
Dah
 
Sadly,hukuielewa aya yangu ya mwisho...subiri nitakuelewesha private.
[emoji3] [emoji3] [emoji23] [emoji23] [emoji85] [emoji85]

Duuuuuhh nimesoma tena kama mara nne hivi ndio nimeelewa imebidi nijicheke mwenyewe hahahahaha
Humu JF ukiona neno 'uzi' akili inatafsri kitu kimoja tu, thread.. But nimekusoma sasa hahahah

Yap, inabidi siku tufanye hivyo tukutane pitch tunyooshane ndani ya uzi wa madrid [emoji3]
 
[emoji3] [emoji3] [emoji23] [emoji23] [emoji85] [emoji85]

Duuuuuhh nimesoma tena kama mara nne hivi ndio nimeelewa imebidi nijicheke mwenyewe hahahahaha
Humu JF ukiona neno 'uzi' akili inatafsri kitu kimoja tu, thread.. But nimekusoma sasa hahahah

Yap, inabidi siku tufanye hivyo tukutane pitch tunyooshane ndani ya uzi wa madrid [emoji3]

[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Take it easy...I was like damn!
Na nilivyocheki mida ile nikajua usingizi ulichangia.

Sure,we must....
 
Siyo mtangazaji namna ile kama tulivyozea kuwasikiliza akina Charles Hillary enzi hizo.

Yeye kazi yake ni kutoa ufafanuzi, tafsiri, maoni ya kitaalamu kila anapoombwa na mtangazaji mkuu wakati wa matukio makuu au mwenendo wa mpira kwa ujumla. Tofauti na wale wanaotoa maoni au uchambuzi wakati wa mapumziko.

Ukiwasikiliza unaweza ukafikiri watangazaji wawili wanatangaza kwa pamoja na kama unaangalia mpira kwenye runinga unapata majibu saafi ya kwa nini mpira upo hivi leo.
 
Naunga mkono hoja,namkubali sana mwalimu Kashasha...
Alinikosha sana kwenye kombe la duania mwaka juzi,kiasi mechi ambazo hakuwepo zilikosa msisimko kwangu.
Nifah huwa unasisimka pia??
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Acha kumung'unya maneno bwana...once a Yanga?...
Heheeeeee

Mimi nilianza kuipenda Yanga rasmi mwaka 2000 nilikuwa darasa la kwanza hapo,nilikuwa napenda sana kusoma magazeti.
Sasa siku moja nikakutana na habari ya Yanga...kichwa chake tu cha habari kilinisisimua sana.Hadi leo sisahau...kilisomeka
"Yanga yawasha Indiketa"
Halafu pichani alikuwepo Said Maulid 'SMG',eeeh bwana kuanzia pale nilikata shauri la kuwa shabiki wa Yanga rasmi.
Hapo kabla miaka ya 98/99 mama yangu mdogo alikuwa anapenda sana kuniita "Wewe shabiki wa Yanga"...alinijenga kwa kweli.

Guess what?Mamangu mdogo ni shabiki wa kutupwa wa Yanga na mimi ndiye afisa habari wake.
Kukiwa na game anataka nimpe updates zote na nini...[emoji12]

Ajabu baba yangu kipenzi ni shabiki wa Simba,ukitukuta tunavyotaniana utadhani hawa watu ni washkaji na sio baba na mwana.
Ila aliwahi kuniambia roho ilimuuma sana alipogundua mwanae kipenzi ni shabiki wa Yanga...club asiyoipenda maishani!

Yalaaaaaah itabidi siku moja tuwe ktk pitch tunyooshane...tena ndani ya uzi wa Madrid.
Can you imagine that?
[emoji5] [emoji5] [emoji5]
duuh,2000 la kwanza!..nilikuwa A level
 
Uingereza hakuna mchambuzi aliekuwa na mvuto kama Garry Nevile
ukiachilia mbali alishaichezea Manchester United

Akaacha uchambuzi akaenda kufundisha Valencia....

aibu tupu huko kaacha
Valencia ina matatizo yake aisee, hata neville alipoondoka bado inazingua tu
 
Muone vile...wivu tu!
JF ni jukwaa huru,tunajadili chochote na popote.
Kaanzishe Forum yako upangie watu cha kujadili,ila hii ya Max tuache tufanye tutakavyo as hatuvunji sheria.
Hulali eee!!!
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
Muone vile...wivu tu!
JF ni jukwaa huru,tunajadili chochote na popote.
Kaanzishe Forum yako upangie watu cha kujadili,ila hii ya Max tuache tufanye tutakavyo as hatuvunji sheria.
[emoji23] [emoji23] [emoji23]

Nimekumbuka huu Uzi..

It was epic [emoji4] [emoji23]

#TheBold's
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23]

Nimekumbuka huu Uzi..

It was epic [emoji4] [emoji23]

#TheBold's
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] baby wewe sio mzima Wallah!
Dah nimecheka sana.
Asante kwa kumbukumbu hii mujarab.
Tumetoka mbaliiii [emoji12] [emoji7] [emoji8]
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] baby wewe sio mzima Wallah!
Dah nimecheka sana.
Asante kwa kumbukumbu hii mujarab.
Tumetoka mbaliiii [emoji12] [emoji7] [emoji8]
Kama kawaida yako toka kitambo mtu akitugusa tu, unamrushia maguruneti..
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

#TheBold's
 
Kama kawaida yako toka kitambo mtu akitugusa tu, unamrushia maguruneti..
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

#TheBold's
Kuna pipo zina wivu wa kikuda sana,tunachit chat kwa raha zetu anaingilia na kutupangia pa kuchatia.
Ni kukosa ustaarab.
Mtu wa hivyo lazima apate stahiki yake [emoji135]

#TheBold's baby [emoji132]
 
Back
Top Bottom