Mwalim Alex Kashasha, mtaalamu maahiri wa Soka asiyeonekana

Mwalim Alex Kashasha, mtaalamu maahiri wa Soka asiyeonekana

Yaan kwa nini asipewe taiga stars, yaan akichambua Mpira mm naskia raha
Yule ni mchambuz wew umependa uchambuz Wake Ila Yuko mbion kua kibogoyo maana midomo imeanza kubonyea ni I Shara ya mapengo## jokes
 
Awadanganye wajinga wenzie tu....nilimsikiliza one day nilikinai kabisa....Watangazaji na wachambuzi wa Azam Tv wapo very real na hawatumii uongo kama yeye
 
Toa up.uuzi wako hapa kila mtu anachangia kile anachoona kina faa...don't tell what I can or I can't do stupid...alafu potea hakuna mtu amekuleta hapa mbwisye ww

Freedom without limitations. Hakuna mkuu. Ukiongea kitu irrelevant kubali. Unyenyekevu Sio udhaifu.
 
Freedom without limitations. Hakuna mkuu. Ukiongea kitu irrelevant kubali. Unyenyekevu Sio udhaifu.
Hakuna mtu amekualika kwenye comment yangu....usijipendekeze....hilo swala la freedom without limitation...kawafundishe watoto wako....na ndugu zako huko kijijini
 
Uingereza hakuna mchambuzi aliekuwa na mvuto kama Garry Nevile
ukiachilia mbali alishaichezea Manchester United

Akaacha uchambuzi akaenda kufundisha Valencia....

aibu tupu huko kaacha
Henry naye yatamshinda,mic ni tofauti na touch line
 
Huwa ananifurahisha anapotoa game statistics, kona,faulo,dribbling,sema kashasha kapata umaarufu uzeeni
 
Back
Top Bottom