Mwalimu afumaniwa LIVE na mwanafunzi wake Hapa Kisukuru - Dar es Salaam

Mwalimu afumaniwa LIVE na mwanafunzi wake Hapa Kisukuru - Dar es Salaam

Miwatamu

JF-Expert Member
Joined
Oct 2, 2012
Posts
1,450
Reaction score
489
Jamani KOVA upo wapi mzee wa matukio!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Jana Mwalimu mmoja wa Shule ya Msingi Kisukuru iliyopo hapa Tabata- Kimanga, Dar es Salaam, amefumaniwa LIVE akiwa anavunja mari ya sita na mwanafunzi wake wa Darasa la sita.Baada ya wapenda haki kutonywa na kuzunguka nyumba yake ambayo ni moja kati ya nyumba mbili mpya zilizojengwa shuleni hapo kwa ajili ya walimu, alikurupuka na kukimbia huku akimuacha binti huyo aliyeachwa kama alivyozaliwa akijaribu kuvaa chupi yake. Mwalimu huyo ambaye inasemekana ni tabia yake ya siku nyingi amekimbia na sasa ninapo leta uzi huu walimu walikuwa kwenye kikao wakijadili zahama hii.

Jamani naombeni kupitia uzi huu, wale walinda amani wetu na vyombo vinavyohusika na suala zima la HAKI ZA BINADAMU mfike shuleni hapo mida hii kufuatilia suala hilo kwani inasemekana kuwa Mwalimu Mkuu na mwenyekiti wa mtaa wanajaribu kulifunika kwa kila hali.

NAWASILISHA.
cc: KOVA
BISIMBA
CHADEMA
CHRC
 
Jamani KOVA upo wapi mzee wa matukio!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Jana Mwalimu mmoja wa Shule ya Msingi Kisukuru iliyopo hapa Tabata- Kimanga, Dar es Salaam, amefumaniwa LIVE akiwa anavunja mari ya sita na mwanafunzi wake wa Darasa la sita.Baada ya wapenda haki kutonywa na kuzunguka nyumba yake ambayo ni moja kati ya nyumba mbili mpya zilizojengwa shuleni hapo kwa ajili ya walimu, alikurupuka na kukimbia huku akimuacha binti huyo aliyeachwa kama alivyozaliwa akijaribu kuvaa chupi yake. Mwalimu huyo ambaye inasemekana ni tabia yake ya siku nyingi amekimbia na sasa ninapo leta uzi huu walimu walikuwa kwenye kikao wakijadili zahama hii.

Jamani naombeni kupitia uzi huu, wale walinda amani wetu na vyombo vinavyohusika na suala zima la HAKI ZA BINADAMU mfike shuleni hapo mida hii kufuatilia suala hilo kwani inasemekana kuwa Mwalimu Mkuu na mwenyekiti wa mtaa wanajaribu kulifunika kwa kila hali.

NAWASILISHA.
cc: KOVA
BISIMBA
CHADEMA
CHRC

Mwalimu kajisevia mwanafunzi wake, watoto wetu tuwafiche wapi?
 
Kwanini asiende kimboka kama ana hamu ya ngono? Huko atawakuta size yake kabisa.
 
Ukweli unaouma sana ni kuwa watu wetu wa karibu na tunaowathamini sana ndio wanaoharibu watoto wetu,ndugu zetu tunaoishi nao majumbani,walimu wa tuition na wa mashuleni,madereva wa magali binafsi na shule,ma housegirls,etc
 
Jamani KOVA upo wapi mzee wa matukio!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Jana Mwalimu mmoja wa Shule ya Msingi Kisukuru iliyopo hapa Tabata- Kimanga, Dar es Salaam, amefumaniwa LIVE akiwa anavunja mari ya sita na mwanafunzi wake wa Darasa la sita.Baada ya wapenda haki kutonywa na kuzunguka nyumba yake ambayo ni moja kati ya nyumba mbili mpya zilizojengwa shuleni hapo kwa ajili ya walimu, alikurupuka na kukimbia huku akimuacha binti huyo aliyeachwa kama alivyozaliwa akijaribu kuvaa chupi yake. Mwalimu huyo ambaye inasemekana ni tabia yake ya siku nyingi amekimbia na sasa ninapo leta uzi huu walimu walikuwa kwenye kikao wakijadili zahama hii.

Jamani naombeni kupitia uzi huu, wale walinda amani wetu na vyombo vinavyohusika na suala zima la HAKI ZA BINADAMU mfike shuleni hapo mida hii kufuatilia suala hilo kwani inasemekana kuwa Mwalimu Mkuu na mwenyekiti wa mtaa wanajaribu kulifunika kwa kila hali.

NAWASILISHA.
cc: KOVA
BISIMBA
CHADEMA
CHRC
kama si umbea kwanini msimkamate na kumpeleka kwa kova?
unaomba msaada kabla ya wewe kutoa msaada?
huo ni umbea
 
Mshahara wenyewe hautoshi kutongoza wala kulipia Hotel ili kubana matumizi kaamua kula kutokana na urefu wa kamba yake bora kama kakumbuka condom
 
...walimu wana marupu rupu mengi, kila mmoja kwa nafasi/cheo chake anapata marupu rupu awapo kazini...bigi up...Kumbe BIKRA zianza kutolewa tangu darasa la sita..masomo kwa vitendo baada ya nadharia.khaaa
 
Walimu wengine ovyo kabisaa, kazi kukomaza vitoto vya watu kabla ya wakati, mtafute umpeleke kwa Kova huyo, hafai kabisa!!!!!!!!!
 
Miaka 30 inamhusu hapo!
Hao walimu wenzake hata wakijadiliana kwa wiki nzima ni kupoteza muda. Zaidi wanachoongea hapo ni uhalifu wa kumchangia nauli aje kujificha machimboni Mererani.
 
Au asijekuwa Mwl Mrisho maana alitoka Shule ya Msingi Kimanga kwa kumtia mimba mwanafunzi darasa la sita, akahamishiwa Kisukuru P/School.
Kumbe mwl mrisho hiko ndicho kilichomtoa kimanga!?Duuuh ila jamaaa alikuwa anapenda sana kungonoka. By the way alikuwa mwl wangu wangu wa maarifa ya jamii safi sana.
 
Kwani huyo mwanafunzi kalalamika? Kama sivyo baasi tuwachangie next time waende guest
 
Darasa la sita! ... Kiherehere na tamaa. Alishindwa kukataa? Mitoto ya siku hizi ovyo.... Mwalimu nae lo!
 
Back
Top Bottom