Mwalimu atuhumiwa kuwaharibu wasichana watano

Chizi hilo lipelekwe jera au mirembe.
 
Ni more pension thing hommie
Go to hell
 
Binadamu ukimpa faragha hata ndani anakunya kabisa, kama mimi nakojoa kwenye kopo naamini wengine wanaachi mavi kabisa, imagine wafukua matope ๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…
๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜ mkuu acha kukojoa kwenye kopo Ila kuta zina siri nyingi kama zingekuwa zina uwezo wa kuongea. Tungeumbuka
 
๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜ mkuu acha kukojoa kwenye kopo Ila kuta zina siri nyingi kama zingekuwa zina uwezo wa kuongea. Tungeumbuka
Chumba cha master na kitolea wapi mkuu naanza kufungua milango usiku naamsha watu. Afu uvivu wa kuamka mpaka chooni usingizi umekata naanza hesabu ceiling body mpaka kunakucha
 
Chumba cha master na kitolea wapi mkuu naanza kufungua milango usiku naamsha watu. Afu uvivu wa kuamka mpaka chooni usingizi umekata naanza hesabu ceiling body mpaka kunakucha
Sawa mkuu ๐Ÿ˜‚
 
Daaah

Babu kaharibu cv yake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ