Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tumefikajefikaje kwenye hali hii!??Mamlaka zitenge siku ya kutoa taarifa za vifo ili kupunguzia watu msongo wa mawazo.
Taarifa za vifo zinarindima kila kukicha na kuwathiri watu kisaikolojia.
NB: Kuna watu walidhani mikoa fulani ndiyo huu watu. La hasha, makabila yote kuna mauaji. Usihukumu ukaja kuhukumiwa.
Matumizi ya sheria bila busara. Kuna wataalamu wa sayansi ya jamii wamepuuzwa. Jamii inahitaji social healing.Tumefikajefikaje kwenye hali hii!??
Kweli kabisaMatumizi ya sheria bila busara. Kuna wataalamu wa sayansi ya jamii wamepuuzwa. Jamii inahitaji social healing.
Kukamata na kusweka rumande siyo suluhu ya kudumu na pengine, inachangia hali kuwa mbaya zaidi.
Unajua hujui ni msemo wa wanajamii kwa kweli ni bora kukutana na simba ambaye uwezekano wake mkubwa ni kukujeruhi ama kukuua kabisa lakini sio hawa binadamu kwani mchana ni watu lakini usiku ni watu walio ndani ya ngozi ya chui.Tumefikajefikaje kwenye hali hii!??
So watanzania wako frustrated...wako na deep hate....full of rage..disapointment and revenge,, jumlisha na umasikini wa kupwaa.Matumizi ya sheria bila busara. Kuna wataalamu wa sayansi ya jamii wamepuuzwa. Jamii inahitaji social healing.
Kukamata na kusweka rumande siyo suluhu ya kudumu na pengine, inachangia hali kuwa mbaya zaidi.
Nilisema kafara za kipindi hiki sio ajali wala majanga ya asili....View attachment 2109524
Mwenye ripoti kamili ndugu zangu.
Tuna shida. Tunahitaji uponyaji.
Hii inaogopesha.
Humanity ubinadamu hamna.So watanzania wako frustrated...wako na deep hate....full of rage..disapointment and revenge,, jumlisha na umasikini wa kupwaa.