joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,117
- 46,617
Unyama wa Wakenya unaendelea kupanda viwango kila siku. Baada ya Mchungaji kumuua mkewe kanisani mbele ya waumini, hata kabla hatujafuta machozi, Wakenya waunganisha tukio lingine la kinyama. Hivi thamani ya maisha ya binadamu huko Kenya yakoje?
RIP teacher
Sent using Jamii Forums mobile app