Madam Opiyo bingwa wa Chemistry aliyefanya kazi Thaqaafa secondary school zaidi ya miaka 28 ameacha kazi. Wakurugenzi wa shule za Mwanza na mikoa Jirani huu ni muda sahihi wa kunasa sahihi ya madam Opiyo.
Kwa wanaomfahamu wanaelewa nachosema, ni mchapakazi haswa.
Kwa wanaomfahamu wanaelewa nachosema, ni mchapakazi haswa.