Ndio ujue kuwa timu yenu ya taifa haijawahi kuwa na kocha wa kuitoa kwenye hilo shimo mlipo tangu Maximo haondoke.Tumekuwa tukipiga kelele sana pale walimu wa kigeni wanapokuja kufundisha timu yetu ya taifa ya mpira wa mikuu kwamba hawana viwango.
Na huwa hatuwapi nafasi ya kuizoea timu ispokukuwa Maximo ambaye alikaa muda mrefu kidogo.
Wengine muda mfupi tu kwaheri. Sasa baada hapo akakabidhiwa mzawa Mkwasa, kwakweli sijaona mabadiliko yeyote na kelele hazipigwi za kumbadirisha. Mimi naona hata yeye hafai. Amakweli mchawi mpe mwana alee
Ndio ujue kuwa timu yenu ya taifa haijawahi kuwa na kocha wa kuitoa kwenye hilo shimo mlipo tangu Maximo haondoke.
*game ya kufungwa 2-1 nyie mnafungwa 6-0.
*game ya kudroo hata 1-1 nyie mnafungwa 3-1
*game ya kushinda hata 3-1 nyie mnadroo 2-2.
*timu ya kuifunga nyumbani na ugenini nyie mnadroo kwenu alafu mnafungwa ugenini.
what a joking team..
Timu yenu imebaki kuwa ya maajabu tu kama ambavyo inchi yenu ilivyokuwa ya maajabu.
Nilivyoona tu hiyo ID yako hata sijashangaa haya maneno kwenye hiyo comment yako..Uwezo wetu kimichezo hasa soka unaishia hapo hata aje Mourinho hawez fanya kitu zaidi! Tukubali tu mwarabu sio size yetu!! Hatuna wa kumlaum leo
Kwani nikisha sema itabadilisha dhana ya hicho nilichokisema humo?...kwani wewe ni raia wa nchi gani?!
Be realistic, wabongo tuna upeo finyu sana. Maximo alisema wazi, mafanikio hayaji kama bahati, ni mchakato wa muda mrefu sana. Kwa ujuaji wetu hatukuwa tayari kulipa gharama! Ligi bora huzaa timu bora ya taifa. Bila kurudi kwenye grassroot tutaendelea kufarijiana kijinga kwa kudhani tunaweza. Kwa viwango vya wachezaji wetu, hata aje Pep Guardiola atashia kuchafua CV yake tu. Pole sana.Nilivyoona tu hiyo ID yako hata sijashangaa haya maneno kwenye hiyo comment yako..
"Uwezo wetu kimichezo hasa soka unaishia hapa hata aje morinho hawezi fanya kitu zaidi"
anyway kwanini tukubali na tuendelee kulea huu udhaifu tulio nao? Yaani kweli wewe unaamini hatuwezi kutoka hapa tulipo?
Kwani hao walioweza wana nini na walianzaje?
no wonder this huge inferiority compex has sprunged us into wallowing in extrem poverty as a country.
Be realistic, wabongo tuna upeo finyu sana. Maximo alisema wazi, mafanikio hayaji kama bahati, ni mchakato wa muda mrefu sana. Kwa ujuaji wetu hatukuwa tayari kulipa gharama! Ligi bora huzaa timu bora ya taifa. Bila kurudi kwenye grassroot tutaendelea kufarijiana kijinga kwa kudhani tunaweza. Kwa viwango vya wachezaji wetu, hata aje Pep Guardiola atashia kuchafua CV yake tu. Pole sana.
Sihitaji kujadili na mpumbavu kama weweWewe nae umekurupuka tu huko hata hujajitawaza unakuja kureply comment yangu, hivi kwanza umelinganisha nilichokiandika mimi na hayo matapishi yako kabla hujayaruhusu?
Ni wapi umeona nimekataa ligi bora uzaa timu bora ya taifa?
Ni wapi umeona siko realistic? au Kukanusha alichokiandika huyo uvccm ndio kimekufanya uone siko realistic?
Ni nani asiyejua kwamba mafanikio yoyote yale yanahitaji mipango ya muda mrefu? kwa akili yako unahisi kwamba hata hilo silifahamu sio?
Kweli wabongo tuna akili finyu na mfano mzuri wa mwenye akili finyu ni wewe hapo wala hata haijifichi..
HUACHE UKURUPUKAJI NA PIMA ULICHOKIANDIKA KAMA KINALETA MAANA INAYOENDANA NA KILA UNACHOTAKA KUOANISHA KABLA YA KUKIRUHUSU NA KUJIKUTA UNAONEKANA ZWANZWA TU.
Mimi kwenye reply yangu uliyoinukuu nimeuliza maswali kadhaa nilitemea uyo niliyo mquote afanye kuprolonge mjadala hili tufike huku uliporukia wewe.
Hiyo pole sana ikurudie wewe na sio mimi.
Ohooo... hata chizi tangu lini akajitambua kuwa yeye ni chizi na badala yake huwaona wale waliotofauti na yeye ndio machizi?Sihitaji kujadili na mpumbavu kama wewe
mbona stars ya kim poulsen ilikua nzuri na ushindi tulikua tnapata!..muulizeni muhaya kilichomfanya avunje mkataba na poulsen wakat timu ilkua na mwenendo mzuri..wahaya bwana!Uwezo wetu kimichezo hasa soka unaishia hapo hata aje Mourinho hawez fanya kitu zaidi! Tukubali tu mwarabu sio size yetu!! Hatuna wa kumlaum leo