Mtu wako wa karibu ndiyo nini? Sema kama ni demu wako. Haya, Mwalimu daraja "A" ni yule aliyemaliza kidato cha 4 na kusoma Astashahada ya Ualimu (Certificate in Teaching) Kwa mujibu wa Sera ya Elimu na Mafunzo (Education and Training Policy) ya mwaka 1995, mwalimu wa daraja "A" anaruhusiwa kufundisha katika shule za msingi tu.
Anaweza kuajiriwa na serikali au wenye shule binafsi kama sio kilaza.
Walimu wana waajiri wengi, Serikali ya Tanzania (kupitia Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Mamlaka za Serikali za Mitaa,Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto nk), mashirika ya dini, watu binafsi nk