Mwalimu huyu alipwe bei gani?

Duh naona sumu ya udhaifu ina sambaa tu!pole sana.
 
b.w.e.g.e kabisa mtoa thread hii. Thread zingine zinajaza tu server. Huna akili timamu wewe ndo maana unawadharau walimu. Nina hakika hata babaako na mamaako unawakashifu kwa kuwa tu wewe unaishi nyumba yenye bati wakati wazazi wako bado wanaishi nyumba ya nyasi kijijini kwenu.
 
ni sawa na kama umemtukana mama na baba yako.
 
Kama ungekaa kimya kuhusu hili suala ningekuana una busara zaidi. Mara nyingi ukikubali mdomo ukutawale, matokeo yake ni kufua kutoelewa kwako!!!!!
 
Mwalimu is the sleeping giant siku mamboa yatakapokua magumu zaidi
hili dude litaleta mabadiliko makubwa acha tuone ni kitu gani kinachoendelea

Mwalimu hawezi kumhamasisha mwanafunzi asome wakati yeye mwenyewe amekata
tamaa na hivyo kunywa viroba asubuhi kwani maisha ni magumu kuliko tunavyoyafikiria
hii inawagarimu waalimu kwania wanapewa posho mishahara midogo ambayo inaishia tarehe 15
sasa we unafikiri mwalimu anauza visheti na karanga au amekunywa banana yuko chakari ili
aondoe stress za life mwanafunzi akimkutam atahamasika kuona umuhimu wa elimu kweli?
 
Mtoa maada hii ni sawa na redio kubwa yenye bendi moja tu
 
Nilipigwa ban refu ndio narudi leo lakini wewe *****ge naona unanitafutia kufungiwa kabisa hapa jf
 
Usitetee mitizamo ya kimagamba,nyama we!
 

Mavi ya ngedere
kichwa chako kibovu
 
Msamehe bure mkuu. Kuna watu wanaanzisha mada ili kuwatafutia wenzao ban.

Mkuu nashukuru sana kwa ushauri wako, kwa kweli watu wengine wanatafutia wengine matatizo.Usiku mwema
 
Wewe ni nani ulete huu uzi wa kipumbavu namna hii. Unajifanya na elimu yako ya cheti ambayo haijakuelimisha popote. Leo hii kazi yako ikifa(God forbid), nakwambia utamshauri mwanao aende ualimu. Unaona ulivyo na kazi nzuri yenye mshahara mzuri unadhan na wanao wataifanya hiyo hiyo! Acha dharau kwa taaluma za watu wengine! Mpumbavu mkubwa wewe!!
 
Hivi kumbe kuna watu wana akili za namna hiiii
 
nimeamini ww unaweza kula ugali kwenye chungu ukimaliza unakunya mavi ndani ya chungu hicho, pu***vu zako.
 
kwakuwa hao ndio waaliochaguliwa kuwa walimu waache walipwe, if unaona itakuwa kubwa rudi kafundishe
 
Ushauri wa bure:" Siku ingine usikurupuke kuleta mada ambayo haina mashiko!!!"
 
Bado najiuliza,mleta uzi ni BINADAMU TOLEO LA NGAPI? au na hii nimoja ya dalili za EBOLA!!unamtukana mwalimu!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!au ndiyo maana mnawazalilisha adi mnawachapa viboko mbele ya wanafunzi wao.UBARIKIWE NA SHETANI,ULAANIWE NA MWENYEZI MUNGU
 

Tatizo ni Malezi uliyoyapata toka ukiwa mdogo
 
Hivi wewe unaishi nchi gani ambayo raia wake hawana adabu kiasi hiki? wewe ni mtanzania? Au ndo uko kweny ekundi la wakimbilia mahakamani kushitaki watoto wao eti wamegoma wakifikiri wanatatua tatizo?
 
waalimu tuwaache jamani, tusiwaseme kabisa, waalimu wanastahili kuongezewa mchahara kabisaaa..hapo mi sina la kusema..tatizo langu mimi ni kwa hawa kina ulimboka...wanapata kiburi cha elimu ya udaktari baada ya kumaliza degree zao, bila kujua kuwa wamesomeshwa na watz masikini wanaowagomea....yaani tuwaasomeshe kwa hela yetu halafu mkimaliza mnatugomea ati tuwaongezee na mshahara...kwanini kina ulimboka hawakugoma wakati ule wanahaha kujiunga na chuo cha muhimbili|?
 

Mkuu jibu ni rahisi kama angalau ungemaliza darasa la tano ! hizo 250000 divide by siku 30 haraka haraka utapata jibu lako 8400 kwa siku, asilimia 85 ya watanzania wanapanga nyumba katika miji mikubwa na hata midogo sasa angalia pesa hiyo inamtosha vipi toka asubuhi mpaka anapanda kitanda ukizingatia anawezakuwa na family. wewe unajoke too much lakini ndo mawazo yako ! hapa ndo tunashindwa kupata dhana ya maisha bora kwa kila mtz (another jokes )
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…