Mwalimu huyu alipwe bei gani?

Yaani jamaa amejaa fikra za kibaguzi na kujitutumua kupita kiasi. Shame on that person.
Kweli kabisa wakuu, ni rahisi sana kugundua upeo wa mtu anayeleta mada humu..... Huyu mleta hii mada nadhani ni kamlete!!!! Na hata elimu yake na upeo wake wa kufikiri utakuwa na tatizo
 
Duuuh! Walimu mna hasira! Nijuavyo mimi % kubwa ya walimu wamesomea kozi hiyo baada yakushindwa kufikia malengo. it was the last option. Frustration=expectation/outcome
 
kavulata, jukwaa hili ni la great thinkers. Umepoteaje ukafika humu? Mtu mwenye fikra ndogo tu angeweza kukumbuka kwamba hata hao unaowaita walimu waliofaulu elimu ya sekondari kwa daraja la IV hawakujipeleka kwenye ualimu. Mfumo uliopo ndio umewavuta kuwaingiza huko. Mchangiaji mmoja amekuelimisha bure (ingawa kimsingi unapaswa ulipie hilo) kwamba hata walimu waliofaulu kwa madaraja ya II na III (kumbuka wapo wengi tu) bado malipo yao hayako sawa kama hoja yako muflisi ingekuwa inafanya kazi. Na unapotukana wataalam wa kada hiyo ambao wamekutoa tongotongo machoni huna tofauti yoyote na ndege lipyoto. Ndege huyu hujihadhari kutokanyaga kinyesi wakati ule anapokuwa anakula funza watokanao na kinyesi kilichooza. Wewe baada ya kupitia mikononi mwa walimu wa UPE na hao wa Div. IV ukafaulu kwa kiwango cha juu, ndiposa unahisi kwamba una akili kuwashinda hao waliokuwezesha! Kuendelea kufanya mjadala na wewe ni kujikaribisha bure kwenye kundi lako ambalo Mh. Didas alisema wanafikiri kwa kutumia nyuma zao. Ninakuacha uendelee na hilo kundi lako maana hata kufundishika kwako kunaelekea kuwa ni kwa gharama kubwa!
 
huyu jamaa nasikia elimu yake ni darasa la tatu aliishia hapo baada ya kuwa naakili nzito ambayo haikuweza kumruhusu kuendelea,ana uelewa mdogo kuliko tumbili na ngedele,sijawahi kuona mtu mjinga kama huyu jamaa
 
Lameck Airo mbunge wa Rorya ameishia la 7 anachukua posho na marupurupu kibao ndan ya Bunge .Acha fkra magamba mwalimu kaz anayofanya inapaswa kabisa kulipwa kima cha chini sh.315000 alafu acha kudharau ajira ya walimu kilaza wewe
 
Lameck Airo mbunge wa Rorya ameishia la 7 anachukua posho na marupurupu kibao ndan ya Bunge .Acha fkra magamba mwalimu kaz anayofanya inapaswa kabisa kulipwa kima cha chini sh.315000 alafu acha kudharau ajira ya walimu kilaza wewe

kweli huyu jamaa katika wajinga ni namba moja na alipo kaitwa hajui lolote na ujinga alionao mpaka hajijui kuwa amejua kuandika kutokana na mwalimu na kujua kutumia computer kafundishwa na mwalimu ila namjua alishawahi kumpiga baba yake akafukuzwa kwao
 
Namuunga mkono bw. Kavulata kwa hili, walimu wetu wanatakiwa waende wakajiendeleze wafikie angalau diploma na 1st degree ili hadhi yao ipande kwenye jamii ambayo siku hizi ina mavyuo vikuu kibao. Masisha ya mwalimu wa 250,000 yanakuwa magumu kwakuwa amekopa sana kwenye vyombo vya fedha mbalimbali eti naye anataka awe na nyumba gafla bin vuu badala ya kwenda kujiendeleza kimasomo, anataka kuwajengengea wazazi wake nyumba na kusaidia ndugu na jamaa kifedha. Ni kweli wanafundisha lakini matokeo ya kazi yao ni vijana wasiojua kusoma, vijana kukimbilia mijini wakimaliza shule, kujisaidia honyo, kutupa takataka barabarani, kufanya biashara yoyote popote na kuvaa milegezo.
 

Umemjumuisha na huyu tunaemuita baba wa taifa au?
 

Tumbo lililokuzaa sidhani kama lilibeba mimba tena.
 
Umelaaniwa tena kwa laana kuu(mleta uzi)umepataje ujasiri wa kupost pumba za namna hii kuhusu walimu wako?hujui umefika hapa ulipo kutokana na huyo mwalimu unaye mwongelea pumba.nimeamini wewe jamaa unaweza hata kuidharau chupi inayo ficha uchi wa mama yako kwa kusema''mb0na hii nguo ni ndogo sana lakini inaficha maeneo niliyopita mimi na ukubwa wote huu?''ukome tabia hiyo mbaya tena ukome kabisa!
 

Mkuu, samahani sana. Lakini ukweli ni kwamba akili zako hazina akili. Siyo tusi, ila ni ukweli.
Hizo pass marks unazozisifia hapo walijifundisha wenyewe?
Nadhani umekurupushwa uandike uzi huu. Pole sana.
 


Ubinafsi wenu nyie mnaojiita madaktari(M.O) ndio unaowafanya mpuuzwe kwa hoja zenu hizo, mmekalia maslahi binafsi tu na ndio maana makundi mengine ya watumishi wa umma wakiwepo madaktari wasaidizi(M.A) hawako pamoja na nyie, mtabaki hivyo hivyo na Ulimboka wenu. Siku mtakapojitambu mna nafasi gani katika jamii ndio siku mtakayosikilizwa na kufanikiwa matakwa yenu ya maslahi na sio huduma bora za afya kama mnavyodai nyie. Kama mnafikia kuwabangu madaktari wenzenu M.A mtaacha kuwabagua wagonjwa? shame on you!!!Dhambi ya ubaguzi haiishi kwa hao wenzenu tu, ni kama kula nyama ya mtu utaendelea tu.
 
mleta maada naomba kichwa chako ukishughulishe sana maana nje ya hapo utakuwa kama unafikiri kwa kutumia miguu
 
Kurudisha heshima ya mwalimu ni pamoja na kupata walimu wenye division III na kwenda juu.

Mwl lazima awe role model ya kila kitu, kama mwalimu alikuwa kilaza darasani enzi zake unafikiri atapata ujasiri na mbinu gani za kumfanya mwanafunzi apende kusoma? hata hivi vyuo vya ualimu lazima tuvimulike
.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…