Habari Wakulu
Mimi ni kijana mtanzania,nimehitimu shahada yangu ya kwanza BAED (linguistics and literature) kutoka Chuo Kikuu cha Dar es Salaam
Niko hapa nikiomba kwa yeyote mwenye uwezo wa kusaidia nikapata kazi aweze kunisaidia
Masomo yangu ya kufundishia ni kama nilivoainisha hapo juu
Tafadhali kwa wenye kusaidia
0753 312 807
ASANTENI SANA
Mimi ni kijana mtanzania,nimehitimu shahada yangu ya kwanza BAED (linguistics and literature) kutoka Chuo Kikuu cha Dar es Salaam
Niko hapa nikiomba kwa yeyote mwenye uwezo wa kusaidia nikapata kazi aweze kunisaidia
Masomo yangu ya kufundishia ni kama nilivoainisha hapo juu
Tafadhali kwa wenye kusaidia
0753 312 807
ASANTENI SANA