Mwalimu mkuu atunukiwa kinyago cha kutisha baada ya shule yake kushika mkia NECTA

MeinKempf

JF-Expert Member
Joined
Jun 11, 2013
Posts
11,093
Reaction score
7,229
Chanzo: Chimbwara
 

Attachments

  • unnamed (24).jpg
    38.2 KB · Views: 8,717
  • unnamed (22).jpg
    37.3 KB · Views: 648
  • unnamed (23).jpg
    38.5 KB · Views: 586
ni hatua nzuri nimeipenda sana,
kinyago hichi kitundikwe eneo la wazi hapo shuleni ili kiwachukize wanafunzi wote wapate motisha wakujitahidi next time tusiwaongeze kinyago kingine chenye sura mbaya zaidi.
 
ni hatua nzuri nimeipenda sana,
kinyago hichi kitundikwe eneo la wazi hapo shuleni ili kiwachukize wanafunzi wote wapate motisha wakujitahidi next time tusiwaongeze kinyago kingine chenye sura mbaya zaidi.

ahahaa... tena kikiwekwa kwenye meza y mkuu au mtaaluma itakuwa pouwa zaidi, na kingine kwenye eneo la mkusanyiko "assembly ground/smart area " pembeni ya bendera ya Taifa itakuwa vema zaidi.
 
Hahahaha mimi ningetuma mwakilishi kwenda kuchukua hicho kinyago,hakiya nani sitii mguu huko
 
ahahaa... tena kikiwekwa kwenye meza y mkuu au mtaaluma itakuwa pouwa zaidi, na kingine kwenye eneo la mkusanyiko "assembly ground/smart area " pembeni ya bendera ya Taifa itakuwa vema zaidi.

na itungwe nyimbo ya majuto ya kukiimbia kinyago hichi mpaka ufaulu uongezeke ndo tutoe kinyago hicho na tusitishe nyimbo hiyo ya majonzi hapo assemble.
 
Hahahahahah junior.Cux embu pitia apa twende mjini
Umeona enhee... ya ukifika ofisini kwake kama umeingia kwenye chumba cha kutunzia kadava "cadaver room" kama zile za IMTU...ahahaa
 
Last edited by a moderator:
ni hatua nzuri nimeipenda sana,
kinyago hichi kitundikwe eneo la wazi hapo shuleni ili kiwachukize wanafunzi wote wapate motisha wakujitahidi next time tusiwaongeze kinyago kingine chenye sura mbaya zaidi.

Na akirudi shuleni arudishe feedback kwa kuwaonyesha wanafunzi wote zawadi aliyoipokea na ikiwezekana inakuwa inakaa kwa zamu kama ilivyo zamu kwa kila darasa yaani ikifika tu asubuhi kiongozi wa darasa anaenda kuchukua kwa mwalimu wa darasa na kuweka darasani au kwenye mhula wa kwanza darasa ambalo litapata wastani wa chini kuliko madarasa mengine ndio itakuwa mzigo wake huo (ila kasoro kwa darasa la kwanza, pili na tatu ambao bado wadogo wanahitaji motisha ya kutiwa moyo zaidi)
 
Chakushangaza wote wana nyuso za furaha badala ya kusikitika

Hata ukisikitika haisaidii kikubwa inabidi ufurahi maana hilo nalo ni neno ati, unachotakiwa ukitoka hapo ni kwenda kupambana asikipokee tena hicho kinyago
 
Hahahaha mimi ningetuma mwakilishi kwenda kuchukua hicho kinyago,hakiya nani sitii mguu huko

"Terms & conditions to be applied" vigezo na masharti kuzingatiwa,
tumesema hakuna kutuma mwakilishi . kwani miongoni mwa wale viongozi wa ngazi za juu "top layer leaders" kama mkuu, makamu, mtaaluma au nidhamu.
 
Mawaziri watakaoshindwa wajibu wao wanapewa nini. Lazima tujue sababu za kufeli. Waalimu wachache, motisha, vitendea kazi
 
Chakushangaza wote wana nyuso za furaha badala ya kusikitika

Bora utabasamu tu kwenye kupokea ili kupunguza munkari wa mgeni rasmi , kwani kinyume chake unaweza kula za chembe kidevu kwenye hotuba yake mpaka uka poteza kumbukumbu ya jina la shule yake.
 
Mawaziri watakaoshindwa wajibu wao wanapewa nini. Lazima tujue sababu za kufeli. Waalimu wachache, motisha, vitendea kazi

Kwahiyo unatka kusema kuwa na wao wana deserve the same kind of prize kama walimu wa chato...???
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…