N-handsome
JF-Expert Member
- Jan 23, 2008
- 2,453
- 560
Yes, Why not
kwi kwi kwi kwi kwi kwi nimecheka sana kimoja inabidi akiweke nyumbani kwake ili kiwe kinamkubusha kuwakomalia walimu kumaliza syllabus na kuwapa watoto majaribio ya kutosha sio mwalimu kwa mwezi mnamuona mara moja tu
Sijaona usirias wa hicho kinachotendeka,unaadhibiwa huku unatabasamu.
Chanzo: Chimbwara