Mwalimu MKUU Ilboru Sec asimamishwa

Bora wamsimamishe...maana mwaka 2000 - 2001 tulishindwa kumsimamisha Kitemango kwa kuwa alikuwa na godfathers kibao idara ya elimu mkoa wa Arusha wakati huo.


Subiri utasikia kahamishiwa shule ingine....soon.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…