DOKEZO Mwalimu Mkuu Shule ya Msingi Upendo, Mbezi Louis anatumia vibaya madaraka yake kwa maslahi binafsi

DOKEZO Mwalimu Mkuu Shule ya Msingi Upendo, Mbezi Louis anatumia vibaya madaraka yake kwa maslahi binafsi

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
A

Anonymous

Guest
Naripoti kutoka Shule ya msingi Upendo Mbezi Louis, kuwa uongozi wa Mwalimu Mkuu wa shule hiyo pamoja na msaidizi wake namba 2 ni wa ki maslahi binafsi na usio wa ushirikishwaji kwa Walimu wengine, matusi, dharau na kashfa mbalimbali

1. Upangaji wa Walimu kwenye vipindi ni wa ovyo na usio na uwiano, Walimu wengi amewapanga madarasa ya chini ili madarasa ya juu abaki yeye na walimu baadhi kwa ajili ya kupiga pesa za tution japo kuwa kuna Walimu pia hufundisha hizo tution lakini hawapati chochote, darasa la kwanza lina walimu 8, darasa la memkwa lenye wanafunzi 12 lina walimu 4 na darasa la pili lina walimu 10, wakati huo darasa la sita lina walimu 5, la saba lina walimu 3, halafu kweli Mwalimu afundishe vipindi vyote kwa wanafunzi na tutegemee kuna kufaulu hapo?

2. Matumizi ya capitation ( 1,600,000) hayako wazi kwa Walimu wa ngazi za chini hivyo Walimu hawajui chochote juu ya matumizi ya pesa hizo ili hali hawanunuliwi kalamu wala daftari za nukuu hivyo hulazimika kununua kw pesa zao wenyewe, hii sio haki kabisa ukilinganisha n mishahara wanayolipwa.

3. Walimu hawanunuliwi hata chai shuleni alihali pesa za ushuru hukusanywa kila siku

4. Mitihani ya muhula haitungwi na Walimu bali anapeleka mitihani yake ambayo wWalimu wanasema iko chini ya viwango na muda mwingne inakuwa nje na topic ambazo wao wamefundisha. Mitihani hiyo pia hulipiwa na wanafunzi Tsh 1,500 kwa kila mwanafunzi lakini Walimu huwapa sh 5,000 tu kwa ajili ya usahihishaji na alihali mitihani hawajatunga wao.

5. Kwa Maslahi yake ameruhusu baadhi ya walimu kuuza vitu darasani kisha walimu hao humpa pesa, hii inachangia kuzorotesha ufanisi katika ufundishaji.

OMBI LA WALIMU
1. Walimu wanaomba uongozi wa shule ubadilishwe ili kusaidia kuinua taaluma ya shule na kuzuia rushwa na maslahi binafsi

2. Walimu wanamuomba afisa Elimu na Mkurugenzi kufanya uchunguzi juu ya hayo malalamiko na wakigundua kuwa kuna ukweli au uongo basi tafadhali wachukue hatua stahiki.

3. Walimu wanaomba uwiano kwenye kupangiwa vipindi kwani kuna baadhi ya Walimu hufanya kazi kubwa kuliko wengine.

4. Kuna walimu wa kujitolea shuleni wakati kwa ujumla walimu wa kuajiriwa wako 56, hao wa kujitolea ni wa kazi gani?

Naweka kalamu chini nawasilisha hoja kwa mamlaka husika

Ni mimi Kibaraka wa Mtaa.
 
Naripoti kutoka Shule ya msingi Upendo Mbezi Louis, kuwa uongozi wa Mwalimu Mkuu wa shule hiyo pamoja na msaidizi wake namba 2 ni wa ki maslahi binafsi na usio wa ushirikishwaji kwa Walimu wengine, matusi, dharau na kashfa mbalimbali

1. Upangaji wa Walimu kwenye vipindi ni wa ovyo na usio na uwiano, Walimu wengi amewapanga madarasa ya chini ili madarasa ya juu abaki yeye na walimu baadhi kwa ajili ya kupiga pesa za tution japo kuwa kuna Walimu pia hufundisha hizo tution lakini hawapati chochote, darasa la kwanza lina walimu 8, darasa la memkwa lenye wanafunzi 12 lina walimu 4 na darasa la pili lina walimu 10, wakati huo darasa la sita lina walimu 5, la saba lina walimu 3, halafu kweli Mwalimu afundishe vipindi vyote kwa wanafunzi na tutegemee kuna kufaulu hapo?

2. Matumizi ya capitation ( 1,600,000) hayako wazi kwa Walimu wa ngazi za chini hivyo Walimu hawajui chochote juu ya matumizi ya pesa hizo ili hali hawanunuliwi kalamu wala daftari za nukuu hivyo hulazimika kununua kw pesa zao wenyewe, hii sio haki kabisa ukilinganisha n mishahara wanayolipwa.

3. Walimu hawanunuliwi hata chai shuleni alihali pesa za ushuru hukusanywa kila siku

4. Mitihani ya muhula haitungwi na Walimu bali anapeleka mitihani yake ambayo wWalimu wanasema iko chini ya viwango na muda mwingne inakuwa nje na topic ambazo wao wamefundisha. Mitihani hiyo pia hulipiwa na wanafunzi Tsh 1,500 kwa kila mwanafunzi lakini Walimu huwapa sh 5,000 tu kwa ajili ya usahihishaji na alihali mitihani hawajatunga wao.

5. Kwa Maslahi yake ameruhusu baadhi ya walimu kuuza vitu darasani kisha walimu hao humpa pesa, hii inachangia kuzorotesha ufanisi katika ufundishaji.

OMBI LA WALIMU
1. Walimu wanaomba uongozi wa shule ubadilishwe ili kusaidia kuinua taaluma ya shule na kuzuia rushwa na maslahi binafsi

2. Walimu wanamuomba afisa Elimu na Mkurugenzi kufanya uchunguzi juu ya hayo malalamiko na wakigundua kuwa kuna ukweli au uongo basi tafadhali wachukue hatua stahiki.

3. Walimu wanaomba uwiano kwenye kupangiwa vipindi kwani kuna baadhi ya Walimu hufanya kazi kubwa kuliko wengine.

4. Kuna walimu wa kujitolea shuleni wakati kwa ujumla walimu wa kuajiriwa wako 56, hao wa kujitolea ni wa kazi gani?

Naweka kalamu chini nawasilisha hoja kwa mamlaka husika

Ni mimi Kibaraka wa Mtaa.
Peleka kwa wahusika!
 
pole Mwl...fanya namna upewe hicho cheoo....tukuone na wewe..🤣🤣🤣🤣
 
Umepata wasaa kabisa wa kukaa na walimu wakakulalamikia yote hayo?kwani walimu hawajui pa kupeleka malalamiko yako mpk waje kwako? Na taratibu za kazi yako zinakuruhusu kutoa malalamiko jf au unapaswa kufuata ngazi stahiki?Unapata wapi nguvu ya kuwataja watu ambao hawajakutuma hadharani? Ukiulizwa utayakiri haya yote mbele ya mamlaka husika?
 
Naripoti kutoka Shule ya msingi Upendo Mbezi Louis, kuwa uongozi wa Mwalimu Mkuu wa shule hiyo pamoja na msaidizi wake namba 2 ni wa ki maslahi binafsi na usio wa ushirikishwaji kwa Walimu wengine, matusi, dharau na kashfa mbalimbali

1. Upangaji wa Walimu kwenye vipindi ni wa ovyo na usio na uwiano, Walimu wengi amewapanga madarasa ya chini ili madarasa ya juu abaki yeye na walimu baadhi kwa ajili ya kupiga pesa za tution japo kuwa kuna Walimu pia hufundisha hizo tution lakini hawapati chochote, darasa la kwanza lina walimu 8, darasa la memkwa lenye wanafunzi 12 lina walimu 4 na darasa la pili lina walimu 10, wakati huo darasa la sita lina walimu 5, la saba lina walimu 3, halafu kweli Mwalimu afundishe vipindi vyote kwa wanafunzi na tutegemee kuna kufaulu hapo?

2. Matumizi ya capitation ( 1,600,000) hayako wazi kwa Walimu wa ngazi za chini hivyo Walimu hawajui chochote juu ya matumizi ya pesa hizo ili hali hawanunuliwi kalamu wala daftari za nukuu hivyo hulazimika kununua kw pesa zao wenyewe, hii sio haki kabisa ukilinganisha n mishahara wanayolipwa.

3. Walimu hawanunuliwi hata chai shuleni alihali pesa za ushuru hukusanywa kila siku

4. Mitihani ya muhula haitungwi na Walimu bali anapeleka mitihani yake ambayo wWalimu wanasema iko chini ya viwango na muda mwingne inakuwa nje na topic ambazo wao wamefundisha. Mitihani hiyo pia hulipiwa na wanafunzi Tsh 1,500 kwa kila mwanafunzi lakini Walimu huwapa sh 5,000 tu kwa ajili ya usahihishaji na alihali mitihani hawajatunga wao.

5. Kwa Maslahi yake ameruhusu baadhi ya walimu kuuza vitu darasani kisha walimu hao humpa pesa, hii inachangia kuzorotesha ufanisi katika ufundishaji.

OMBI LA WALIMU
1. Walimu wanaomba uongozi wa shule ubadilishwe ili kusaidia kuinua taaluma ya shule na kuzuia rushwa na maslahi binafsi

2. Walimu wanamuomba afisa Elimu na Mkurugenzi kufanya uchunguzi juu ya hayo malalamiko na wakigundua kuwa kuna ukweli au uongo basi tafadhali wachukue hatua stahiki.

3. Walimu wanaomba uwiano kwenye kupangiwa vipindi kwani kuna baadhi ya Walimu hufanya kazi kubwa kuliko wengine.

4. Kuna walimu wa kujitolea shuleni wakati kwa ujumla walimu wa kuajiriwa wako 56, hao wa kujitolea ni wa kazi gani?

Naweka kalamu chini nawasilisha hoja kwa mamlaka husika

Ni mimi Kibaraka wa Mtaa.
Haya ndiyo madhara ya kuto kuwa na vikao vya wazi matokeo yake manakuja kutupigia kelele huku,malizaneni wenyewe huko huko
 
Umepata wasaa kabisa wa kukaa na walimu wakakulalamikia yote hayo?kwani walimu hawajui pa kupeleka malalamiko yako mpk waje kwako? Na taratibu za kazi yako zinakuruhusu kutoa malalamiko jf au unapaswa kufuata ngazi stahiki?Unapata wapi nguvu ya kuwataja watu ambao hawajakutuma hadharani? Ukiulizwa utayakiri haya yote mbele ya mamlaka husika?
Walimu majungu mengi sana ila sema kuna wakuu wababe sana na ukiwambia ukweli wanakufanyia figisu unapewa uhamisho usio na malipo ndani ndani huko
 
Naripoti kutoka Shule ya msingi Upendo Mbezi Louis, kuwa uongozi wa Mwalimu Mkuu wa shule hiyo pamoja na msaidizi wake namba 2 ni wa ki maslahi binafsi na usio wa ushirikishwaji kwa Walimu wengine, matusi, dharau na kashfa mbalimbali

1. Upangaji wa Walimu kwenye vipindi ni wa ovyo na usio na uwiano, Walimu wengi amewapanga madarasa ya chini ili madarasa ya juu abaki yeye na walimu baadhi kwa ajili ya kupiga pesa za tution japo kuwa kuna Walimu pia hufundisha hizo tution lakini hawapati chochote, darasa la kwanza lina walimu 8, darasa la memkwa lenye wanafunzi 12 lina walimu 4 na darasa la pili lina walimu 10, wakati huo darasa la sita lina walimu 5, la saba lina walimu 3, halafu kweli Mwalimu afundishe vipindi vyote kwa wanafunzi na tutegemee kuna kufaulu hapo?

2. Matumizi ya capitation ( 1,600,000) hayako wazi kwa Walimu wa ngazi za chini hivyo Walimu hawajui chochote juu ya matumizi ya pesa hizo ili hali hawanunuliwi kalamu wala daftari za nukuu hivyo hulazimika kununua kw pesa zao wenyewe, hii sio haki kabisa ukilinganisha n mishahara wanayolipwa.

3. Walimu hawanunuliwi hata chai shuleni alihali pesa za ushuru hukusanywa kila siku

4. Mitihani ya muhula haitungwi na Walimu bali anapeleka mitihani yake ambayo wWalimu wanasema iko chini ya viwango na muda mwingne inakuwa nje na topic ambazo wao wamefundisha. Mitihani hiyo pia hulipiwa na wanafunzi Tsh 1,500 kwa kila mwanafunzi lakini Walimu huwapa sh 5,000 tu kwa ajili ya usahihishaji na alihali mitihani hawajatunga wao.

5. Kwa Maslahi yake ameruhusu baadhi ya walimu kuuza vitu darasani kisha walimu hao humpa pesa, hii inachangia kuzorotesha ufanisi katika ufundishaji.

OMBI LA WALIMU
1. Walimu wanaomba uongozi wa shule ubadilishwe ili kusaidia kuinua taaluma ya shule na kuzuia rushwa na maslahi binafsi

2. Walimu wanamuomba afisa Elimu na Mkurugenzi kufanya uchunguzi juu ya hayo malalamiko na wakigundua kuwa kuna ukweli au uongo basi tafadhali wachukue hatua stahiki.

3. Walimu wanaomba uwiano kwenye kupangiwa vipindi kwani kuna baadhi ya Walimu hufanya kazi kubwa kuliko wengine.

4. Kuna walimu wa kujitolea shuleni wakati kwa ujumla walimu wa kuajiriwa wako 56, hao wa kujitolea ni wa kazi gani?

Naweka kalamu chini nawasilisha hoja kwa mamlaka husika

Ni mimi Kibaraka wa Mtaa.
Ukiacha kuendekeza njaa na roho mbaya hautateseka hivi
 
Back
Top Bottom