Orketeemi
JF-Expert Member
- Feb 12, 2013
- 5,063
- 12,866
Hapa ndipo mishahara hewa inapoanzia. Nchi yetu bado sana hii.
jamaa ana shahada ya ualimu, baada ya ajira kutoka imeonekana kuwa jina lake lipo zaid ya mara moja
ikiwa ni pamoja na taarifa zote zioneshazo kuwa post zote hizo 2 zinamhusu yaan jina lake, anuani ya sehem anayotoka, chuo alichosoma pamoja na masomo aliyosoma. kapangiwa Dodoma mjini, pia Kigoma vijijini.
Hivi kwa hali kama hii anapaswa kufanya nini?
jamaa ana shahada ya ualimu, baada ya ajira kutoka imeonekana kuwa jina lake lipo zaid ya mara moja
ikiwa ni pamoja na taarifa zote zioneshazo kuwa post zote hizo 2 zinamhusu yaan jina lake, anuani ya sehem anayotoka, chuo alichosoma pamoja na masomo aliyosoma. kapangiwa Dodoma mjini, pia Kigoma vijijini.
Hivi kwa hali kama hii anapaswa kufanya nini?