Mwalimu mpya toa changamoto za shule uliyopangia hapa

Walimu wa kike kuambukizwa ukimwi kwa tamaa zao mbaya na haraka ya maisha!
 
dharau toka kwa walimu wenyeji,lakini kwa kua nilishafanya kazi private school kwa miaka minne na nikiwa second master kwa miaka miwili ilinilazimu nitoe "CV" yangu ofisini,toka hapo heshima juu!
 
Tunagombania viti na wanafunzi vya kukalia ofisini, msosi wa walimu unaletwa tunajisevia katika karatasi kama ndio vyombo, pia kuna madai mkuu ana watu wake special kila mwaka ndio anawapa hao hao kazi maalumu kama kusimamia mitihani ya taifa, na mengine mengi tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…