TANZIA Mwalimu Mrs. Prosscovier Luhaga afariki Dunia

TANZIA Mwalimu Mrs. Prosscovier Luhaga afariki Dunia

Linguistic

JF-Expert Member
Joined
Mar 16, 2021
Posts
3,669
Reaction score
8,268
Tuliowahi Kusoma Kibaha Boys, wale Wa Kibaha Girls, na Tumbi Sekondari Watakuwa Wanamkumbuka Mkuu Wa Shule Ya Wasichana Kibaha na Pia Mkuu Wa Shule Ya Sekondari Tumbi.

Mwl.Prosscovier K. Luhaga amefariki Jana na Msiba Uko Kwake Kibaha, Picha Ya Ndege

Mme Wa Marehemu Mzee. Luhaga Aliwahi Kunifundisha Kemia Wakati Nasoma Kibaha Boys.

R.I.P. Mrs Luhaga

255767355341_status_f8d13c2f9c4a4a158c786798816c75b2.jpg
 
mm mkuu kaserenge alikuwa mkuu wa shule mwakagani nakumbuka kama mimi nilimuacha mwalimu wa kawaida na nasikia baada ya mwampaja alikuwa Kayenga YULE ALIKUWAGA MWALIMU WA CHEMISTRY na mwalimu wa taaluma
Si Ndio KK(Kayenge Kaserenge) Alikuwa anafundisha Kemia Pamoja Na Luhaga
 
Back
Top Bottom