Linguistic
JF-Expert Member
- Mar 16, 2021
- 3,669
- 8,268
Tuliowahi Kusoma Kibaha Boys, wale Wa Kibaha Girls, na Tumbi Sekondari Watakuwa Wanamkumbuka Mkuu Wa Shule Ya Wasichana Kibaha na Pia Mkuu Wa Shule Ya Sekondari Tumbi.
Mwl.Prosscovier K. Luhaga amefariki Jana na Msiba Uko Kwake Kibaha, Picha Ya Ndege
Mme Wa Marehemu Mzee. Luhaga Aliwahi Kunifundisha Kemia Wakati Nasoma Kibaha Boys.
R.I.P. Mrs Luhaga
Mwl.Prosscovier K. Luhaga amefariki Jana na Msiba Uko Kwake Kibaha, Picha Ya Ndege
Mme Wa Marehemu Mzee. Luhaga Aliwahi Kunifundisha Kemia Wakati Nasoma Kibaha Boys.
R.I.P. Mrs Luhaga