Linguistic
JF-Expert Member
- Mar 16, 2021
- 3,669
- 8,268
Yes Mama wa Kihaya Huyu, kafundisha Shule zote za Sekondary ambazo ziko Chini ya Shirika La Elimu KibahaDA aisee ameniuma huyu mama nilimuacha kibaha seconday miaka ya 90 da poleni sana wafiwa mama yetu Mungu akupe pumziko la milele Amen
aisee inauma sana ukikumbuka enzi hizo na mwalimu mkuu Mwampaja aisee dunia hii acha tuYes Mama wa Kihaya Huyu, kafundisha Shule zote za Sekondary ambazo ziko Chini ya Shirika La Elimu Kibaha
Mm namaliza Kibaha Boys, Mkuu Wa Shule Alikuwa ni Kaserengeaisee inauma sana ukikumbuka enzi hizo na mwalimu mkuu Mwampaja aisee dunia hii acha tu
mm mkuu kaserenge alikuwa mkuu wa shule mwakagani nakumbuka kama mimi nilimuacha mwalimu wa kawaida na nasikia baada ya mwampaja alikuwa Kayenga YULE ALIKUWAGA MWALIMU WA CHEMISTRY na mwalimu wa taalumaMm namaliza Kibaha Boys, Mkuu Wa Shule Alikuwa ni Kaserenge
Si Ndio KK(Kayenge Kaserenge) Alikuwa anafundisha Kemia Pamoja Na Luhagamm mkuu kaserenge alikuwa mkuu wa shule mwakagani nakumbuka kama mimi nilimuacha mwalimu wa kawaida na nasikia baada ya mwampaja alikuwa Kayenga YULE ALIKUWAGA MWALIMU WA CHEMISTRY na mwalimu wa taaluma
ok sory nilikuwaganimekariri kayenga tu siku nyingi da history ya kibaha nzuri sana very interestingSi Ndio KK(Kayenge Kaserenge) Alikuwa anafundisha Kemia Pamoja Na Luhaga
Ww pia Ni Kibaha Alumni??ok sory nilikuwaganimekariri kayenga tu siku nyingi da history ya kibaha nzuri sana very interesting
yes kibaha secondary KSSWw pia Ni Kibaha Alumni??
Ooooooh basi Tuko Pamoja, mm class 1995: o'levelyes kibaha secondary KSS
1995 NDIYO ULIMALIZA AU NDIYO ULIINGIA?Ooooooh basi Tuko Pamoja, mm class 1995: o'level
Nilimaliza Mkuu1995 NDIYO ULIMALIZA AU NDIYO ULIINGIA?
mimi nilimaliza 1993 pale o levelNilimaliza Mkuu