johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Haya yanayoanza kutokea sasa yalishatabiriwa na mwalimu Mwakasege na alitutaka Wana wa Mungu wa mbinguni tuwe tuyari kupokea msimu mpya
Trump anasema Hata UN ni Muhimili wa uovu tu Kwa sababu badala ya kutatua Hata migogoro midogo kama ya Congo wao ndio wanaikuza Ili waendelee Kula Michango ya nchi Wanachama
Aidha Trump amesema Taasisi za Kimataifa kwa makusudi huwa danganya Viongozi wa Africa Uchumi wao unakua kwa asilimia kubwa ilhali wananchi wa nchi hizo ni maskini wa kutupwa
Kuanzia Sasa mimi Yohanne nitajikita kuombea Tanganyika na Zanzibar Ili Mungu wa Mbinguni azidi Kutukumbuka na kutubarikia
Jumaa Mubarak 😂
Trump anasema Hata UN ni Muhimili wa uovu tu Kwa sababu badala ya kutatua Hata migogoro midogo kama ya Congo wao ndio wanaikuza Ili waendelee Kula Michango ya nchi Wanachama
Aidha Trump amesema Taasisi za Kimataifa kwa makusudi huwa danganya Viongozi wa Africa Uchumi wao unakua kwa asilimia kubwa ilhali wananchi wa nchi hizo ni maskini wa kutupwa
Kuanzia Sasa mimi Yohanne nitajikita kuombea Tanganyika na Zanzibar Ili Mungu wa Mbinguni azidi Kutukumbuka na kutubarikia
Jumaa Mubarak 😂