Mwalimu na mazingira ya kazi ya ualimu

Mzururaji

JF-Expert Member
Joined
Apr 6, 2012
Posts
1,558
Reaction score
1,273
Walimu katika shule ya sekondar kahunga wilayan kasulu mkoan kigoma wamepata choo kipya cha kudum baada ya kutumia choo cha nyasi ful sut juu chin nyasi kwa muda wa miaka 6. shule hiyo ambayo ina walimu wanne tu wa kuajiliwa na serikal hali ilikua mbaya muda wa kwenda choon kipindi cha mapumziko iliwabid walimu wasubiri watoto warud madarasan ndio waingie choon.
 

hah hah hah hhahn hhha sijapenda kucheka kwa tukio hilo mkuu,nimecheka jinsi ulivyo present mada yako!!!
 
jamani mazingira ya walim ya kufanyia kazi ni magumu sana,hilo ni dogo sana kuna sehem mwl ni mmoja na darasa ni moja ila wanafunzi wapo darasa 1-7 jiulize wanasomea wapi.
 
kukosa choo ni moja bado misahara midogo, dharau, kubezwa n.k lakini bado walimu ni lazima wawepo. ingawa madhila ni kibao bado nchi ina watu walioelimika kutokana na kuwepo kwa walimuk
 
Walimu walishayatambua matatizo yote yanayowakabili na jinsi serikali isivyowajali ndo maana wako kwenye mgomo wa mda mrefu na wa kimyakimya, ushahidi ni matokeo ya mitihan na maisha ktk govt schools.
 
wafundishe tu,kwani wameeenda kufundisha watoto au k****nya?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…