Mwalimu na Mwanafunzi sio poa!

Mungu angekuwa anatengeneza watu kwa pair, mkifikia umri wa kuoa/kuolewa mnajkuta mmepatana tu

ingekua poa

kusingekua na mambo ya maex, jua kuzama, michepuko nk

anapenda kuona watu wanateseka, sijui yupoje
Mpango wa Mungu uko Sawa na hauna shida.. shida ipo kwetu sisi binadamu.
Wewe ni kijana mdogo, ama binti mdogo. Unayaparamia Mapenzi Kaba ya wakati. Utaachaje kuwa na Ex kibao.....?
Unaonjwa onjwa tu, kijana anachovya chovya tu. Ex hakwepeki.
Tulia mpaka muda sahihi, Mungu atakupa wa kufanana nawe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…