mwalimu na mwanafunzi

Mr muhuni

JF-Expert Member
Joined
May 26, 2014
Posts
1,298
Reaction score
1,266
Mwalimu:Angalieni juu, mnaona nini?
Wanafunzi:Mawinguuu!!!
Mwalimu:Vizuri, kingine je?
Wanafunzi:Hamna kingineee!!
Mwalimu:Je, Mungu mnamuona??
Wanafunzi:Hatumuonii
Mwalimu:Sasa tutaaminije?, me ninawaambia hakunaga Mungu.
Dogo mmoja akadakia,,,"Mwalimu, samahani kidogo!".
Mwalimu: "Bila samahani"
Dogo akatoka mbele...Anaanza kuwauliza wenzake,,,
Dogo:Angalieni kichwani kwa mwalimu, mnaona nin?
Wanafunzi:Nyweleee!!
Dogo:Vizuri, kingine je?
Wanafunzi:Hamnaaa!!!
Dogo:Mnaona akili??
Wanafunzi:Hatuiooniii
Dogo:Sasa tutaaminije?, mimi nawaambiaga hana akili huyu mwalimu.
 
Sitaki hata kufikiria sura ya mtoto ilikuwaje baada ya hapo
 
8u
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…