Mwalimu na umiliki wa Ardhi

Endo agar

JF-Expert Member
Joined
Sep 26, 2014
Posts
487
Reaction score
334
"Sehemu kubwa sana za nchi yetu,zimekwisha kuchukuliwa na wageni,hatujapata kudai kwamba wanyang'anywe ardhi iyo.Lakini tumedai kwamba muda wa miaka 99 ni muda mrefu mno wa kukodisha ardhi kwa wageni,katika miaka 99 tanganyika itakuwa na watu zaidi ya mara tatu ya waliomo sasa" Mwl Nyerere,1955.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…