Mwalimu ni mwanafunzi wa kudumu

Mwalimu ni mwanafunzi wa kudumu

Lugano Edom

Senior Member
Joined
Dec 2, 2021
Posts
122
Reaction score
186
Mwalimu ni mwanafunzi wa kudumu

Mwalimu Akiipenda kazi anajituma sana. Na huwa ANAUMIA mwanafunzi wake Wakifeli.

Sema hurudishwa nyuma na maneno ya kashifa kutoka kwa viongozi wa juu yake.

WENGI Huwadharau Waalimu huona hawana thamani hapa duniani. Wala hawafai kusikilizwa
 
Back
Top Bottom