Lugano Edom
Senior Member
- Dec 2, 2021
- 122
- 186
Mwalimu ni mwanafunzi wa kudumu
Mwalimu Akiipenda kazi anajituma sana. Na huwa ANAUMIA mwanafunzi wake Wakifeli.
Sema hurudishwa nyuma na maneno ya kashifa kutoka kwa viongozi wa juu yake.
WENGI Huwadharau Waalimu huona hawana thamani hapa duniani. Wala hawafai kusikilizwa
Mwalimu Akiipenda kazi anajituma sana. Na huwa ANAUMIA mwanafunzi wake Wakifeli.
Sema hurudishwa nyuma na maneno ya kashifa kutoka kwa viongozi wa juu yake.
WENGI Huwadharau Waalimu huona hawana thamani hapa duniani. Wala hawafai kusikilizwa