jingalao
JF-Expert Member
- Oct 12, 2011
- 36,197
- 29,717
Tunapoelekea katika mwezi wa kumbukizi ya Hayati baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere ni vyema kutafakari kila neno alilowahi kulitoa.
Katika moja ya hotuba zake kwa wanahabari aliwahi kugusia madhila aliyowahi kupata kama kiongozi wa nchi kwa kunyimwa visa na TAIFA KUBWA.
Hakika inatia simanzi ila ni bullying iliyowahi kuwepo na pengine itakuwepo kwa muda mrefu ujao. Japo alituasa kama waafrika kuleta mabadiliko.
Katika moja ya hotuba zake kwa wanahabari aliwahi kugusia madhila aliyowahi kupata kama kiongozi wa nchi kwa kunyimwa visa na TAIFA KUBWA.
Hakika inatia simanzi ila ni bullying iliyowahi kuwepo na pengine itakuwepo kwa muda mrefu ujao. Japo alituasa kama waafrika kuleta mabadiliko.