Muktadha wa Sindima na wa Gwaride tofauti mkuu - hukucheki majuzi walivyomchunia mjeshi mwenzao aliyeanguka?
Mwaka 1962...akikagua pass out ya Polisi
1962 Nyerere was 40 years young man. Hivyo hakuitaji sindimba. Enzi hizo sketi tu polisi.
Ukiwaangalia hao askari wote 1962 wanaonekana kuwa na afya nzuri sana. Gwaride la sasa polisi utawaona walivyo na afya mgogoro na kuanguka ovyo? Je haya ni maendeleo?
Mwaka 1962...akikagua pass out ya Polisi
Na Mwinyi uliyemnukuu hapo juu naye alikuwa a 40 years young man? Haya mambo hayajali umri! Mchonga had nothing to hide there.
I see lile ni pozi tu kawaida!!!Mbona Mwalimu aliweka mikono mbele?
With a very young Malechela
Malechela alipokuwa kijana kumbe alikuwa handsome handsome .................
Kama mimi?