Jibu kwanza post ya zungu..ndiyo ujibu yangu usiwe selective..yeye ndio ameanzisha mambo ya sheikh..mimi nikamjibu ok.
By the way hiyo faoundation ulishakosa mwelekeo tangu Mkapa aisusie...hawa viongozi wake hawajui maudhui ya foundation...wanapiga domo kama chadema,CUF and the like..
bwa hahahaNdiyo ni kweli ulimjibu,lakini on my frame of reference ume "confirm" kwamba wewe ni sheick,mambo ya kuanzisha hiyo ni posting nyingine mimi nimetumia uhuru wangu na kuijibu ile uliyokubali kuwa wewe ni sheick.
CHADEMA,na CUF nazo ni foundations ama foundation ni chama cha kisiasa?Ama ni maudhui ambayo yamegusa maslahi ya wanasiasa?jua kutofautisha,tumia common sense and utaelewa what i mean.
Hahahaha,
Not to exonerate Mkapa, but...
Unaweza kufikiria Tanzania ambayo baada ya Mwinyi angeingia Kikwete?
jokaKuu,
Hali ya sasa ni tofauti SANA na hali ya 1995. Kama Butiku angeyasema haya 2005 watu wangefikiria anampigia debe Salim kwa sababu alikuwa kambi hiyo. Lakini leo wakati ni muafaka kwa sababu mifano yote aliyoitoa kila Mtanzania ameiona na anaielewa. It is timely!
nakubaliana yote na akinba butiku, lakini,hawaiendelezi M Nyerere foundation kama ipasavyo na watasingizia hawapati pesa za kutosha from gov. Kuna mambo zaidi ya hutuba wanaweza fanya......kama nilivyoeleza hapo nyuma hata kutoa scholarships za elim ya juu, japo tatu kwa mwaka they can do that for sure. Ila daily wao ni kuikandia tu serikali as if ndo kazi ya Mwali Nyerere Foundation.
Nani aliyekwambia masheikh hawaruhusiwa kuwepo JF kuwa akili weweNdiyo ni kweli ulimjibu,lakini on my frame of reference ume "confirm" kwamba wewe ni sheick,mambo ya kuanzisha hiyo ni posting nyingine mimi nimetumia uhuru wangu na kuijibu ile uliyokubali kuwa wewe ni sheick.
CHADEMA,na CUF nazo ni foundations ama foundation ni chama cha kisiasa?Ama ni maudhui ambayo yamegusa maslahi ya wanasiasa?jua kutofautisha,tumia common sense and utaelewa what i mean.
He loved his country yes but only believe his church members as the best people among all Tanzania to lead (mbaguzi) ndio tatizo lake..that is all