Adharusi
JF-Expert Member
- Jan 22, 2012
- 14,422
- 7,350
Najiuliza sana kwanini wale wanaofundisha vyuo vikuu ukiondoa kozi za education,
Mfano
1.Law
2.Enjinia
3.Utawala
5.Biashara
6.Compyuta
Nk
Wengi wao awajasoma njia za ufundishaji sasa wanawezaje kuwa waalimu wazuri,wakati pale GPA ndo imempeleka ndomana nasema Mwalimu pasipo Ualimu(njia za ufundishaji)
Karibuni katika mnakasha
"Vox populi,Vox dei"
Mfano
1.Law
2.Enjinia
3.Utawala
5.Biashara
6.Compyuta
Nk
Wengi wao awajasoma njia za ufundishaji sasa wanawezaje kuwa waalimu wazuri,wakati pale GPA ndo imempeleka ndomana nasema Mwalimu pasipo Ualimu(njia za ufundishaji)
Karibuni katika mnakasha
"Vox populi,Vox dei"