#COVID19 Mwalimu sichomwi chanjo ng'o na wakibadilisha utaratibu kuwa lazima basi nitakuwa tayari kuacha hata kazi

Chanjo huchanjwi je vidonge vya HIV/AIDS ?
VP dawa za TB ?

vp chanjo za watoto wachanga...?
Kama we vyote umefanya hivyo pia usisahau kupitia vilainishi kwenye balozi za umarekani na ubelgiji
 
mkuu kwaiyo kutoa elfu 5 ya mwenge wa uhuru kwako unaona shida saaana Mala ngap umechangia harusi na mambo mengine Tena kwa hela nyingi unazalilisha ualimu aisee kua mzalendo kwa nchi yako mkuu

Swala la korona ni sababu zipi zina kufanya uwe na mashaka kias cha kusema bora niache kazi?
Sasa kama ww ndio mtu wa kutoa elimu huko kijijin kuhusu korona daaa aise hii nchi bado tuna safari ndefuuu sana na tutafika tumechoka mnoooo
 
Ukifanikiwa kuacha kazi nitafute nikupe kazi ya ushamba boy ila usije mla mke/binti yangu nami nitakukula X 3 yake.
 
Uzalendo kuchangia mwenge??
Nini faida za mwenge??
Mm ningekuwa mwalimu hata senti moja siwezi toa kwenye issue ya kijinga.
Nikichangia harusi naenda kula na kunywa je nikichangia mwenge naenda kupata nini?
Mwenge ni kwa ajili ya mapopoma.
 
Chanjo huchanjwi je vidonge vya HIV/AIDS ?
VP dawa za TB ?

vp chanjo za watoto wachanga...?
Huyo Ana akili timamu ndio Mana kaweka msisitizo kwenye chanjo ya UVIKO 19,

Najua Kuna chanjo nyingi ila hi chanjo ya hati ya dharura chomeni nyie mnaoitaka

Nasisitiza Uhuru wa mtu uheshimiwe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…