wewe unapenda yupi........................wapo waalimu/wauguzi wengine ni madume nao je.........maana hukusema jinsia ya hao waalimu au manesi.........
tatizo ninololiona hapa ni hasteria. unaposema yuko job ni nani ina maana wote uko nao si busara hata kidogo kufanya umaluuni na mwengine halafu ndo unauliza umuoe au laaaa. nilidhani ndo unatafuta lo! kuwa makini sana.