Mwalimu wa book keeping na commerce o level

hanley jr

Senior Member
Joined
Feb 26, 2013
Posts
119
Reaction score
27
Natafuta kazi ya ualimu wa masomo ya book keeping na commerce kwa o level,nina degree ya accountancy kutoka chuo kikuu nitashukuru sana kama mtanisaidia kupata kazi hiyo mkoa wowote nchini maana maisha yangu ni magumu sana na nahitaji kujikwamua kiuchumi na pia kujenga kizazi kijachO,asante sana nawategemea nyie watanzania wenzangu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…