MWALIMU WA HESABU

MWALIMU WA HESABU

Red Scorpion

JF-Expert Member
Joined
Feb 1, 2012
Posts
5,736
Reaction score
4,252
*_Mwalimu Wa Hesabu Aliingia Dalasani Na Akaanza Kumuuliza Juma Swali_*
[emoji28][emoji28][emoji28]

Mwalimu:juu Ya Mti Kuna Ndege 20 Ukiichukua Bunduki Ukawapiga Ndege 2 watabaki wangapi?


Juma: hawata baki wote wataluka kwa kuogopa mlio wa bunduki


Mwalimu: hapana umekosa watabaki ndege 18 ILA nimependa ulivyojibu umewaza mbalii


Juma: sawa mwalimu nami naomba nikuulize swali


Juma: kuna wadada wawili walinunua chocklet mmoja akawa ananyonya mwingine akawa analamba we unahisi yupi ni mke wa mtu?


Mwalimu: nadhani mke wa mtu ni yule anaye nyonya


Juma: hapana mke wa mtu ni yule mwenye pete ya ndoa ila nimependa ulivyojibu umewaza mbaliii![emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]


HV NAVYOONGEA JUMA YUPO AMANA WANAMFANYIA UHAMISHO WA MUHIMBILI
[emoji85][emoji85][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
 
Back
Top Bottom