Red Scorpion
JF-Expert Member
- Feb 1, 2012
- 5,736
- 4,252
*_Mwalimu Wa Hesabu Aliingia Dalasani Na Akaanza Kumuuliza Juma Swali_*
[emoji28][emoji28][emoji28]
Mwalimu:juu Ya Mti Kuna Ndege 20 Ukiichukua Bunduki Ukawapiga Ndege 2 watabaki wangapi?
Juma: hawata baki wote wataluka kwa kuogopa mlio wa bunduki
Mwalimu: hapana umekosa watabaki ndege 18 ILA nimependa ulivyojibu umewaza mbalii
Juma: sawa mwalimu nami naomba nikuulize swali
Juma: kuna wadada wawili walinunua chocklet mmoja akawa ananyonya mwingine akawa analamba we unahisi yupi ni mke wa mtu?
Mwalimu: nadhani mke wa mtu ni yule anaye nyonya
Juma: hapana mke wa mtu ni yule mwenye pete ya ndoa ila nimependa ulivyojibu umewaza mbaliii![emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
HV NAVYOONGEA JUMA YUPO AMANA WANAMFANYIA UHAMISHO WA MUHIMBILI
[emoji85][emoji85][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
[emoji28][emoji28][emoji28]
Mwalimu:juu Ya Mti Kuna Ndege 20 Ukiichukua Bunduki Ukawapiga Ndege 2 watabaki wangapi?
Juma: hawata baki wote wataluka kwa kuogopa mlio wa bunduki
Mwalimu: hapana umekosa watabaki ndege 18 ILA nimependa ulivyojibu umewaza mbalii
Juma: sawa mwalimu nami naomba nikuulize swali
Juma: kuna wadada wawili walinunua chocklet mmoja akawa ananyonya mwingine akawa analamba we unahisi yupi ni mke wa mtu?
Mwalimu: nadhani mke wa mtu ni yule anaye nyonya
Juma: hapana mke wa mtu ni yule mwenye pete ya ndoa ila nimependa ulivyojibu umewaza mbaliii![emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
HV NAVYOONGEA JUMA YUPO AMANA WANAMFANYIA UHAMISHO WA MUHIMBILI
[emoji85][emoji85][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]