anahitajika mwalimu wa shahada, alie tayari kuja wilaya ya rungwe-mbeya,toka Morogoro-mvomero!!
asiwe wa ajira mpya, tuwasiliane kwa 0753210877
ASANTE!!
hamhtji wewe na nan? sio kila thread unayo iona jf lazima uchangie, thread nyingne zinahitaji wenye upeo zaidi kufikiria, kama hii hai kuhusu umekurupuka, nenda kwenye Love affairs kule...