Mwalimu wa Manyara FC ametukosesha ushindi jana

Mwalimu wa Manyara FC ametukosesha ushindi jana

Semahengere

JF-Expert Member
Joined
Nov 29, 2020
Posts
1,186
Reaction score
1,966
Habari wadau,

Ni dhahiri kwamba mwalimu wa Manyara FC alitukosesha ushindi jana nyumbani. Kikosi alichokipanga kipindi cha kwanza kilikuwa na uwezo mdogo, baada ya mapumziko alivyofanya mabadiliko timu iliingia kwa nguvu ya ajabu sana

Tuna kila sababu ya kukulaumu.
 
Back
Top Bottom