Habari wana JF.
Ninatafuta Mwalimu wa masomo ya Sayansi PCB ambaye atafundisha masomo ya Physcis, Chemistry na Biology kwa kidato cha Tatu na Cha Nne. Mwalimu anatakiwa awe maeneo ya Dodoma Mjini na awe na uwezo wa kufundisha masomo hayo tajwa. Mwalimu atatakiwa kufundisha masomo hayo kuanzia mida ya mchana (saa tisa) hadi Jioni (Saa moja).
Ambaye yuko interested, tafadhali ni PM kuanzia sasa.
Hakuna mwalimu wa masomo 3,huo ni uchakachuaji!waalimu hufundishwa masomo 2 ya kufundisha either physics & math au chemistry & biology