Mwalimu wa physics advance anaitajika shule moja ya private iringa

sajosojo

JF-Expert Member
Joined
Apr 14, 2010
Posts
1,021
Reaction score
636
Kwa wale waliomaliza shahada ya ualimu (especially wale wanaofundisha physics) katika vyuo vinavyotambulika na bado wanasubiri kupangiwa nitafute nikuunganishe na shule moja ya private -iringa upate ajira lakini itabidi unilipe kama dalali kwa jinsi tutakavyo kubaliana....kwa info zaidi nichek 0713532322 note: mshahara utalipwa kulingana na viwango vya serikali kwa mwalimu mwenye degree
 
Mshahara utalipwa kulingana na viwango vya serikali
 

wanalipa sh ngapi
 
Kuna jamaa yangu ana diploma vipi nikuunganishe naye
 
nipigie kama unahitaji for more info
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…