MKOBA2011
Senior Member
- Jul 12, 2011
- 142
- 27
Anahitajika mwalimu wa physics mwenye shahada ya kwanza kwa ajili ya kufundisha part time au full time mkoa wa Iringa eneo la Mafinga mwenye sifa hizo anitafute nimpeleke kwa muajiri na kwenda kukubaliana mapato kiasi gani anataka waweze kukubaliana.Kazi njema