Mwalimu wa physics mwenye shahada ya kwanza

MKOBA2011

Senior Member
Joined
Jul 12, 2011
Posts
142
Reaction score
27
Anahitajika mwalimu wa physics mwenye shahada ya kwanza kwa ajili ya kufundisha part time au full time mkoa wa Iringa eneo la Mafinga mwenye sifa hizo anitafute nimpeleke kwa muajiri na kwenda kukubaliana mapato kiasi gani anataka waweze kukubaliana.Kazi njema
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…