Huu Uzi ni mzuri ila umeunyima nyama za kutosha. Ungefunguka zaidi kidogo mkuu maana naona watu upande wa pili leo hakuna mijadala mizito ila huu upo sawa!
Tatizo hapa ni kuandaa janga na tutalila sisi na ndugu zetu. Tunaandaa wapiga kura basi. Wanasayansi, wanasheria, madaktari na wataalam wengine kuna siku tutaimport toka kenya, uganda na malawi!